canne siame
Member
- Sep 17, 2015
- 5
- 5
Hii kwa sasa imekua kero kubwa hata huku mbarali mbeya waIri wa ardhi apikuja na kuwataka wananchi wahame maeneo yao wanayoishi wakidai wamevamia eneo lahifadhi wakati eneo hili ni la babu na bibi zetu tangu mwaka 74 uko lkn leo mtu anakuja kuwafukuza tena akiwaita wavamizi daah inasikitisha sana