Toka Lissu atangaze kugombea nafasi ya uenyekiti, sasa nahitaji kadi ya CHADEMA!

Toka Lissu atangaze kugombea nafasi ya uenyekiti, sasa nahitaji kadi ya CHADEMA!

Crocodiletooth

JF-Expert Member
Joined
Oct 28, 2012
Posts
20,561
Reaction score
24,428
Usiku wa kiza kwa sasa unataka kuondoka, CHADEMA ya asili ipo njiani kurejea, chadema ya hari, haki, uwajibikaji, umakini, chadema ile isiyofumbia macho ufisadi, chadema isiyo ya uchawa, chadema isiyo ya vikundi vya kujinufaisha ambao ndio hao wameshaanza kupiga kelele, kwa hofu, wameshazoea kutafuna huku wanachadema halisi wa damu na jasho wakisota kwa tumaini ambalo haliwezi kutimia kwa sababu ya Uongozi uliopo ni wa Maghorofa, kula na kunywa.

WE NEED LISSU, KUREJESHA TUMAINI JIPYA KWA WATANZANIA!

IMG-20241215-WA0346.jpg
 
Boni Yai kasema Jana wanashaka nae huenda sio mwenzao.
Unategemea atashinda?
 
Usiku wa kiza kwa sasa unataka kuondoka, CHADEMA ya asili ipo njiani kurejea, chadema ya hari, haki, uwajibikaji, umakini, chadema ile isiyofumbia macho ufisadi, chadema isiyo ya uchawa, chadema isiyo ya vikundi vya kujinufaisha ambao ndio hao wameshaanza kupiga kelele, kwa hofu, wameshazoea kutafuna huku wanachadema halisi wa damu na jasho wakisota kwa tumaini ambalo haliwezi kutimia kwa sababu ya Uongozi uliopo ni wa Maghorofa, kula na kunywa.

WE NEED LISSU, KUREJESHA TUMAINI JIPYA KWA WATANZANIA!

View attachment 3177773
Siasa maandazi. Kwa hiyo unakuja kwa sababu ya mtu. Amelaaniwa amtegemeae binadamu (Yer 17:5). Na huyo Lissu wako akifa je?
 
Usiku wa kiza kwa sasa unataka kuondoka, CHADEMA ya asili ipo njiani kurejea, chadema ya hari, haki, uwajibikaji, umakini, chadema ile isiyofumbia macho ufisadi, chadema isiyo ya uchawa, chadema isiyo ya vikundi vya kujinufaisha ambao ndio hao wameshaanza kupiga kelele, kwa hofu, wameshazoea kutafuna huku wanachadema halisi wa damu na jasho wakisota kwa tumaini ambalo haliwezi kutimia kwa sababu ya Uongozi uliopo ni wa Maghorofa, kula na kunywa.

WE NEED LISSU, KUREJESHA TUMAINI JIPYA KWA WATANZANIA!

View attachment 3177773
kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi hawezi kupewa nafasi wala fursa ya kuivuruga chadema atajiengua mapema kabla ya uchaguzi huo kwa madai yake hewa ya rafu za uchaguzi kukwepa aibu na fedhaha ya kushindwa vibaya uchaguzi huo 🐒
 
kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi hawezi kupewa nafasi wala fursa ya kuivuruga chadema atajiengua mapema kabla ya uchaguzi huo kwa madai yake hewa ya rafu za uchaguzi kukwepa aibu na fedhaha ya kushindwa vibaya uchaguzi huo 🐒
CDM need good management! And strong leadership, chadema ya leo is toothless haiwezi lolote, chadema hii ni ya wala bata na kugawana kinachopatikana, bendera tu huko mitaani ni chakavu, ngazi za chini kwishaaa, 120ml, mgawo wa ruzuku siyo haba, endapo kama kuna dhati ya kweli ya kwenda vijijini kipande kwa kipande kuimarisha chama na kujenga misingi imara, (kula, kunywa, kukopeshana) ndicho kilichopo kwa sasa,.
CDM ya leo ina special gang mobb, hao ni maalum kwa kugawana kila senti moja.
 
CDM need good management! And strong leadership, chadema ya leo is toothless haiwezi lolote, chadema hii ni ya wala bata na kugawana kinachopatikana, bendera tu huko mitaani ni chakavu, ngazi za chini kwishaaa, 120ml, mgawo wa ruzuku siyo haba, endapo kama kuna dhati ya kweli ya kwenda vijijini kipande kwa kipande kuimarisha chama na kujenga misingi imara, (kula, kunywa, kukopeshana) ndicho kilichopo kwa sasa,.
wanachadema wameshtukia nia na dhamira ovu ya huyo muungwana anaekusudia kuipata nafasi ya uenyekiti ili apitishe pesa chafu za mabwenyenye ya magharibi, kwasababu wanaomfadhili wamamlazimisha kwamba yeye ndie anapaswa kua mwenyekiti wa chama atakae kua ana control pesa atakazikua anatumiwa ili kukivunga chama na Tanzania kwa ujumla.

Tumeona pia ubinafsi wake katika kutumia rasilimali za chama mathalani,

anatumia platforms za Chadema kwa maslahi binafsi, kuombaomba kuchangiwa vitu mbalimbali, kudai fidia binafsi tigo na serikalini n.k.

haya ni matumizi mabaya ya ofisi za uma kwa mambo ya kifamilia 🐒
 
Mara hana Hela mara sio mwenzao Ili mradi tu Mbowe abaki madarakani hapa ndo naanza kumuelewa Msigwa alikuwa sahihi
 
Hata kidogo ila Lissu ataibomoa CDM hafai leo wala kesho kwa hulka yake.
Kwa sasa ndani ya CDM na nje ya chama na TANZANIA kwa ujumla hakuna mtu mwenye ushawishi kama LISSU

Rejea operation zilizotoka kuhitimishwa na chama +255 okoa bandari zetu zilivyokuwa zinatekelezwa

Team ya mwenyekiti ilikuwa inatumika chopa hadi jukwaa lakini team ya makamu yenyewe ilikuwa inatumia gari wakati mwingine hata jukwaa ambalo halina uimara

Na sehem zote ambazo ambazo mwenyekiti alikuwa anapita ni sehemu ambazo tunauhai lakini makamu alipita sehemu ambazo chama hakina uhai

Mwisho CDM bila Mbowe ni imara zaidi kama ya 2015 kwenda 2010 lakini CDM bila LISSU ni sawa na UDP ya CHEYO ya Leo
 
wanachadema wameshtukia nia na dhamira ovu ya huyo muungwana anaekusudia kuipata nafasi ya uenyekiti ili apitishe pesa chafu za mabwenyenye ya magharibi, kwasababu wanaomfadhili wamamlazimisha kwamba yeye ndie anapaswa kua mwenyekiti wa chama atakae kua ana control pesa atakazikua anatumiwa ili kukivunga chama na Tanzania kwa ujumla.

Tumeona pia ubinafsi wake katika kutumia rasilimali za chama mathalani,

anatumia platforms za Chadema kwa maslahi binafsi, kuombaomba kuchangiwa vitu mbalimbali, kudai fidia binafsi tigo na serikalini n.k.

haya ni matumizi mabaya ya ofisi za uma kwa mambo ya kifamilia 🐒
CCM HAS ALRESDY INVEST TO MBOWE, CCM HAIWEZI KUFURAHI LISSU ASHIKE UONGOZI, CCM ITAPATA HASARA FOR WHAT THEY DID, TUTAPATA CHADEMA MPYA BAADA YA LISSU KUSHIKA UENYEKITI ALTHOUGH IT'S NOT AN EASY JOB
 
Usiku wa kiza kwa sasa unataka kuondoka, CHADEMA ya asili ipo njiani kurejea, chadema ya hari, haki, uwajibikaji, umakini, chadema ile isiyofumbia macho ufisadi, chadema isiyo ya uchawa, chadema isiyo ya vikundi vya kujinufaisha ambao ndio hao wameshaanza kupiga kelele, kwa hofu, wameshazoea kutafuna huku wanachadema halisi wa damu na jasho wakisota kwa tumaini ambalo haliwezi kutimia kwa sababu ya Uongozi uliopo ni wa Maghorofa, kula na kunywa.

WE NEED LISSU, KUREJESHA TUMAINI JIPYA KWA WATANZANIA!

View attachment 3177773
Crocodiletooth wa before 2016 alikuwa ni CHADEMA Kindakindaki. Nikaja kushangaa ghafla anaisapoti CCM dhidi ya CHADEMA. Unless ulikuwa na grievances dhidi ya Uongozi.

Back to the topic, hakika reforms zinahitajika ndani ya CHADEMA. Kwa sasa ni ngumu sana Kuweza kushawishi vijana waliozaliwa kuanzia 2004 wakamkuta Mbowe, wamezaa na watoto wao wanaongea bado wanamuona Mbowe Mwenyekiti wa CHADEMA. Lazima Viongozi watambue wanaowaongoza sio wajinga. Wana utashi na utambuzi. Iwapo wataona Kuna ubabaishaji Kwa Viongozi watawasusia Chama chao.
 
Crocodiletooth wa before 2016 alikuwa ni CHADEMA Kindakindaki. Nikaja kushangaa ghafla anaisapoti CCM dhidi ya CHADEMA. Unless ulikuwa na grievances dhidi ya Uongozi.

Back to the topic, hakika reforms zinahitajika ndani ya CHADEMA. Kwa sasa ni ngumu sana Kuweza kushawishi vijana waliozaliwa kuanzia 2004 wakamkuta Mbowe, wamezaa na watoto wao wanaongea bado wanamuona Mbowe Mwenyekiti wa CHADEMA. Lazima Viongozi watambue wanaowaongoza sio wajinga. Wana utashi na utambuzi. Iwapo wataona Kuna ubabaishaji Kwa Viongozi watawasusia Chama chao.
Thanks for just keeping records!, ↙
 
CCM HAS ALRESDY INVEST TO MBOWE, CCM HAIWEZI KUFURAHI LISSU ASHIKE UONGOZI, CCM ITAPATA HASARA FOR WHAT THEY DID, TUTAPATA CHADEMA MPYA BAADA YA LISSU KUSHIKA UENYEKITI ALTHOUGH IT'S NOT AN EASY JOB
so,
chadema is among the weakest opposition party in Tanzania, right?

and Tundu Lisu is rudderless and clueless opposition leader with to strategies and plans to win the support of members of mkutano mkuu Taifa wa Chadema right?

why is the gentleman is unpopular within within chadema circle whili is popular only in social medias?🐒
 
Back
Top Bottom