Kabisa, Lissu anaweza kuwa rais wa JMT lakini sio mwenyekiti wa CDM. Na angeshinda urais tusingempa uenyekiti wa CDM hata kidogo.Kwamba mlitaka awe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tz yenye wananchi zaidi ya milioni 60+ ila hawezi kuwa Mwenyekiti wa CDM? Hii ni fallacy