Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Mwenyekiti wa Walemavu?au sijaelewa hapaUsiku wa kiza kwa sasa unataka kuondoka, CHADEMA ya asili ipo njiani kurejea, chadema ya hari, haki, uwajibikaji, umakini, chadema ile isiyofumbia macho ufisadi, chadema isiyo ya uchawa, chadema isiyo ya vikundi vya kujinufaisha ambao ndio hao wameshaanza kupiga kelele, kwa hofu, wameshazoea kutafuna huku wanachadema halisi wa damu na jasho wakisota kwa tumaini ambalo haliwezi kutimia kwa sababu ya Uongozi uliopo ni wa Maghorofa, kula na kunywa.
WE NEED LISSU, KUREJESHA TUMAINI JIPYA KWA WATANZANIA!
View attachment 3177773
Kwa kuwa ameonyesha kugombea sasa mmeanza kumpa majina ya HOVYO HOVYO, ya kutweza utu wa binadamu, kweli uenyekiti chadema is Untouchable!...Mwenyekiti wa Walemavu?au sijaelewa hapa
Sawa karibu chama kubwaUsiku wa kiza kwa sasa unataka kuondoka, CHADEMA ya asili ipo njiani kurejea, chadema ya hari, haki, uwajibikaji, umakini, chadema ile isiyofumbia macho ufisadi, chadema isiyo ya uchawa, chadema isiyo ya vikundi vya kujinufaisha ambao ndio hao wameshaanza kupiga kelele, kwa hofu, wameshazoea kutafuna huku wanachadema halisi wa damu na jasho wakisota kwa tumaini ambalo haliwezi kutimia kwa sababu ya Uongozi uliopo ni wa Maghorofa, kula na kunywa.
WE NEED LISSU, KUREJESHA TUMAINI JIPYA KWA WATANZANIA!
View attachment 3177773
Inshaallah, lakini ni baada ya Jemedari Lissu, kufaulu uenyekiti!Sawa karibu chama kubwa
Wakimchagua nitajua ni genge la wahuni tu. Hawana loloteWajumbe mkutano mkuu wakimchagua Mbowe ndio nitajua rasmi hawana AKILI!.
Ni kusanyiko la wajinga.
Hili chama linaenda kung'aa sanaSawa karibu chama kubwa
kagombee na wewe ila Mlemavu hapana aiseeKwa kuwa ameonyesha kugombea sasa mmeanza kumpa majina ya HOVYO HOVYO, ya kutweza utu wa binadamu, kweli uenyekiti chadema is Untouchable!...
CorrectCCM HAS ALRESDY INVEST TO MBOWE, CCM HAIWEZI KUFURAHI LISSU ASHIKE UONGOZI, CCM ITAPATA HASARA FOR WHAT THEY DID, TUTAPATA CHADEMA MPYA BAADA YA LISSU KUSHIKA UENYEKITI ALTHOUGH IT'S NOT AN EASY JOB
Kwa nini , kuongoza sio lissu tu, ata Mbowe kuongoza chama peke yake hawezi , chama inaongozwa as a team , lissu anafaa, Mbowe anafaa, tuache kura ziongee , mmezidi kuwa wanafiki.CDM ni kubwa ila Lissu hafai kuwa kiongozi mkuu CDM.
Sababu za msingi zinazomfanya asifae ni zipi mkuu?CDM ni kubwa ila Lissu hafai kuwa kiongozi mkuu CDM.
Ni kweli Lisu hafai, ila Mbowe hawezi kung'olewa na vidagaa, na yeye hataki kuachia kiti.CDM ni kubwa ila Lissu hafai kuwa kiongozi mkuu CDM.
Hafai uenyekiti wa chama, presidential material? acheni utani ninyi watu wa shithole countries!!!!!CDM ni kubwa ila Lissu hafai kuwa kiongozi mkuu CDM.
Huna akili, Rudi tumboni uzaliwe upyawanachadema wameshtukia nia na dhamira ovu ya huyo muungwana anaekusudia kuipata nafasi ya uenyekiti ili apitishe pesa chafu za mabwenyenye ya magharibi, kwasababu wanaomfadhili wamamlazimisha kwamba yeye ndie anapaswa kua mwenyekiti wa chama atakae kua ana control pesa atakazikua anatumiwa ili kukivunga chama na Tanzania kwa ujumla.
Tumeona pia ubinafsi wake katika kutumia rasilimali za chama mathalani,
anatumia platforms za Chadema kwa maslahi binafsi, kuombaomba kuchangiwa vitu mbalimbali, kudai fidia binafsi tigo na serikalini n.k.
haya ni matumizi mabaya ya ofisi za uma kwa mambo ya kifamilia 🐒
muerevu umbaki na mihemko tu dahHuna akili, Rudi tumboni uzaliwe upya

Kwamba mlitaka awe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tz yenye wananchi zaidi ya milioni 60+ ila hawezi kuwa Mwenyekiti wa CDM? Hii ni fallacyCDM ni kubwa ila Lissu hafai kuwa kiongozi mkuu CDM.