Kabisa, Lissu anaweza kuwa rais wa JMT lakini sio mwenyekiti wa CDM. Na angeshinda urais tusingempa uenyekiti wa CDM hata kidogo.Kwamba mlitaka awe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tz yenye wananchi zaidi ya milioni 60+ ila hawezi kuwa Mwenyekiti wa CDM? Hii ni fallacy
Hawezi unifying figure ya CDM Lissu kila wakati ni divisive.Sababu za msingi zinazomfanya asifae ni zipi mkuu?
Kuongoza nchi ukiwa rais ni rahisi sana hata wewe unaweza lakini kuongoza chama cha upinzani kisichokuwa madarakani kinataka hekima na maarifa makubwa sana, Lissu hana hivyo vitu.Kwa nini , kuongoza sio lissu tu, ata Mbowe kuongoza chama peke yake hawezi , chama inaongozwa as a team , lissu anafaa, Mbowe anafaa, tuache kura ziongee , mmezidi kuwa wanafiki.
Kama uchaguzi wa 2020 ungekua fair lissu angekua Rais , so chama na nchi kipi kikubwa ? Pumbavu
Wewe utakuwa ni mwanachama wa CCM sema tu ukweli sheikhe.Kwa sasa ndani ya CDM na nje ya chama na TANZANIA kwa ujumla hakuna mtu mwenye ushawishi kama LISSU
Rejea operation zilizotoka kuhitimishwa na chama +255 okoa bandari zetu zilivyokuwa zinatekelezwa
Team ya mwenyekiti ilikuwa inatumika chopa hadi jukwaa lakini team ya makamu yenyewe ilikuwa inatumia gari wakati mwingine hata jukwaa ambalo halina uimara
Na sehem zote ambazo ambazo mwenyekiti alikuwa anapita ni sehemu ambazo tunauhai lakini makamu alipita sehemu ambazo chama hakina uhai
Mwisho CDM bila Mbowe ni imara zaidi kama ya 2015 kwenda 2010 lakini CDM bila LISSU ni sawa na UDP ya CHEYO ya Leo
Mkuu tulia sisi ndo wataalam ,ccm mnapoelekea kitasimama chuma ( John Heche) alafu Lissu na Mbowe wanawekwa kando kwanza , icho chuma kikikaa pale lissu ,Mbowe cha mtoto ,ccm mtapelekewa moto hamjawahi kuonaKuongoza nchi ukiwa rais ni rahisi sana hata wewe unaweza lakini kuongoza chama cha upinzani kisichokuwa madarakani kinataka hekima na maarifa makubwa sana, Lissu hana hivyo vitu.
Basi sawa political analystKabisa, Lissu anaweza kuwa rais wa JMT lakini sio mwenyekiti wa CDM. Na angeshinda urais tusingempa uenyekiti wa CDM hata kidogo.
Nashukuru kwa kuwa wewe ndiye uliyenikatia kadi ya CCMWewe utakuwa ni mwanachama wa CCM sema tu ukweli sheikhe.
Really?Hawezi unifying figure ya CDM Lissu kila wakati ni divisive.