Toka majuzi natembea na bastola yangu, panya road hamjambo?

Toka majuzi natembea na bastola yangu, panya road hamjambo?

Jidu La Mabambasi

JF-Expert Member
Joined
Oct 20, 2014
Posts
16,419
Reaction score
26,594
Mie si mshari, mchokozi na wala sina hasira.
Lakini toka majuzi panya rodi walipotetemesha hadi Kunduchi nikaona sasa wacha mbwai iwe mbwai.
Wanaume wa kanda Maalum Musoma wamezidi kutucheka.

Panya rodi mkiniona na subaru ya bluu na nakunywa mitaa ya Kunduchi njooni mnisalimie.
Nina salaam zenu.
 
Mie si mshari, mchokozi na wala sina hasira.
Lakini toka majuzi panya rodi walipotetemesha hadi Kunduchi nikaona sasa wacha mbwai iwe mbwai.
Wanaume wa kanda Maalum Musoma wamezidi kutucheka.

Panya rodi mkiniona na subaru ya bluu na nakunywa mitaa ya Kunduchi njooni mnisalimie.
Nina salaam zenu.
Unatembea na bastola ili kujihami dhidi ya vijana wadogo (under 20).
 
Habari bila picha au video clip sw na takataka tu

images.jpeg
 
yani ushindwe kuwashusha hata watano kisa unaogopa jela kwanza ikishalia ile hamna mtu atabaki hapo so utapata upenyo wa kukimbia gari unaweza kuifata kesho
Wewe jamaa umenifanya nicheke sana
 
Mie si mshari, mchokozi na wala sina hasira.
Lakini toka majuzi panya rodi walipotetemesha hadi Kunduchi nikaona sasa wacha mbwai iwe mbwai.
Wanaume wa kanda Maalum Musoma wamezidi kutucheka.

Panya rodi mkiniona na subaru ya bluu na nakunywa mitaa ya Kunduchi njooni mnisalimie.
Nina salaam zenu.
Pistola ni ya kubeba muda wote, sasa wewe unaiachaje nyumbani!
 
Hivi kumiliki mguu wa kuku bongo niandae kama sh. Ngapi?
 
Back
Top Bottom