ummumuhammad
JF-Expert Member
- Sep 8, 2014
- 796
- 697
😅😅😅😅Huo mwandiko hata baiskel hauna
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
😅😅😅😅Huo mwandiko hata baiskel hauna
Huwezi kutwa na hatia kwa kuua shetaniYaani ukafie jela kwa kuua panya rod, heri uuwe tembo utoe meno ukikamatwa ujue moja
Usitegemee kukutana na vibaka hata wezi kama umejiandaa kukutana nao.Mie si mshari, mchokozi na wala sina hasira.
Lakini toka majuzi panya rodi walipotetemesha hadi Kunduchi nikaona sasa wacha mbwai iwe mbwai.
Wanaume wa kanda Maalum Musoma wamezidi kutucheka.
Panya rodi mkiniona na subaru ya bluu na nakunywa mitaa ya Kunduchi njooni mnisalimie.
Nina salaam zenu.
Tulizubaa sana kaka, unakuta hatutembei hata na kapanga dahMie si mshari, mchokozi na wala sina hasira.
Lakini toka majuzi panya rodi walipotetemesha hadi Kunduchi nikaona sasa wacha mbwai iwe mbwai.
Wanaume wa kanda Maalum Musoma wamezidi kutucheka.
Panya rodi mkiniona na subaru ya bluu na nakunywa mitaa ya Kunduchi njooni mnisalimie.
Nina salaam zenu.
Sitembei nayo full time.Sasa wew kumbe ulikuwa nayo alafu ulikuwa unaacha nyumban sis huku arusha mda wowote huwa tunatembea na silaha zana zote zinakaa kwenye Key Holder
Hujataja plate numbee mkuu na muonekano wako ili iwe rahis kukutambue mpimane ubavuMie si mshari, mchokozi na wala sina hasira.
Lakini toka majuzi panya rodi walipotetemesha hadi Kunduchi nikaona sasa wacha mbwai iwe mbwai.
Wanaume wa kanda Maalum Musoma wamezidi kutucheka.
Panya rodi mkiniona na subaru ya bluu na nakunywa mitaa ya Kunduchi njooni mnisalimie.
Nina salaam zenu.
Njoo mitaa ya kunduchi na panga lako.Hujataja plate numbee mkuu na muonekano wako ili iwe rahis kukutambue mpimane ubavu
Utakula nondo moja ya kichwa gafla bin vuu huomb hata maji yaan hata huo mkono wako hautofika kwenye tako ulipoficha hiyo bastola yakoNjoo mitaa ya kunduchi na panga lako.
Nakuwasha ya goti tu, sina makubwa.
Utaishi maisha yako yote ukijutia.
milioni mbili na nusu ila kama una connection na polisi unaweza pata hata kwa laki saba mchakato wake atakuelekezaHivi kumiliki mguu wa kuku bongo niandae kama sh. Ngapi?
HahahahaMie si mshari, mchokozi na wala sina hasira.
Lakini toka majuzi panya rodi walipotetemesha hadi Kunduchi nikaona sasa wacha mbwai iwe mbwai.
Wanaume wa kanda Maalum Musoma wamezidi kutucheka.
Panya rodi mkiniona na subaru ya bluu na nakunywa mitaa ya Kunduchi njooni mnisalimie.
Nina salaam zenu.
Unajua bange na valiumu watakufuata tuyani ushindwe kuwashusha hata watano kisa unaogopa jela kwanza ikishalia ile hamna mtu atabaki hapo so utapata upenyo wa kukimbia gari unaweza kuifata kesho
umewai kuusikia mlio wa bunduki mkuu bange huisha alafu kitaalam umampiga ring leader tu akianguka wote wanatuliaUnajua bange na valiumu watakufuata tu