Toka majuzi natembea na bastola yangu, panya road hamjambo?

Toka majuzi natembea na bastola yangu, panya road hamjambo?

On behalf…

So umekuja kutuambia unamiliki pisto? Unakaa Kunduchi na una drive Subaru [emoji41]

Hongera kwa kuwa uchumi wa kati..
Uchumi wa kati ni neno lako lkn[emoji28]
 
Hivi kumiliki mguu wa kuku bongo niandae kama sh. Ngapi?
Nadhani kununua sio gharama sana ni kuanzia 2M hiyo ni mpya kabisa japo zipo used na kwa bei nafuu pia gharama inategemea na unataka ya ukubwa gani changamoto kubwa ipo kwenye vibali hii kitu ina mlolongo mrefu sana vibali vyake na kumbuka una nunua kwanza halafu ngoma inakaa storage ukipata kibali ndio unaenda kuichukua
 
Mie si mshari, mchokozi na wala sina hasira.
Lakini toka majuzi panya rodi walipotetemesha hadi Kunduchi nikaona sasa wacha mbwai iwe mbwai.
Wanaume wa kanda Maalum Musoma wamezidi kutucheka.

Panya rodi mkiniona na subaru ya bluu na nakunywa mitaa ya Kunduchi njooni mnisalimie.
Nina salaam zenu.

Huo mwandiko hata baiskel hauna
 
Kwani siku zote kabla ya panya road ulikuwa unamwachia nani nyumbani Siku zote unatakiwa utembee nayo utakuja kunishukuru baadae
 
Mie si mshari, mchokozi na wala sina hasira.
Lakini toka majuzi panya rodi walipotetemesha hadi Kunduchi nikaona sasa wacha mbwai iwe mbwai.
Wanaume wa kanda Maalum Musoma wamezidi kutucheka.

Panya rodi mkiniona na subaru ya bluu na nakunywa mitaa ya Kunduchi njooni mnisalimie.
Nina salaam zenu.
[emoji38][emoji38][emoji38]
 
Back
Top Bottom