Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bei gani nduguKitu cha kawaida hicho!
Subaru sasa hivi Dar Combine, pisto nenda pale Tanganyika Arms, unapata kwa taratibu zinazoeleweka.
Uchumi wa kati ni neno lako lkn[emoji28]On behalf…
So umekuja kutuambia unamiliki pisto? Unakaa Kunduchi na una drive Subaru [emoji41]
Hongera kwa kuwa uchumi wa kati..
Tatizo polisi prosesi ndefu sanaKitu cha kawaida hicho!
Subaru sasa hivi Dar Combine, pisto nenda pale Tanganyika Arms, unapata kwa taratibu zinazoeleweka.
Kila moja na bei yakeHivi kumiliki mguu wa kuku bongo niandae kama sh. Ngapi?
Afya yako ya akili iko njemaHivi kumiliki mguu wa kuku bongo niandae kama sh. Ngapi?
Who will prove umeua panya rodUtafia vip jela tena kwa kuua wezi?? Mtu akikuvamia as long as hakujui huwa anajiandaa kwa lolote na kifo kikiwemo
Nadhani kununua sio gharama sana ni kuanzia 2M hiyo ni mpya kabisa japo zipo used na kwa bei nafuu pia gharama inategemea na unataka ya ukubwa gani changamoto kubwa ipo kwenye vibali hii kitu ina mlolongo mrefu sana vibali vyake na kumbuka una nunua kwanza halafu ngoma inakaa storage ukipata kibali ndio unaenda kuichukuaHivi kumiliki mguu wa kuku bongo niandae kama sh. Ngapi?
Kumbe rahisi hivi. Ngoja nianze mchakatoNafikiri kuanzia laki nne waweza pata!
Hili halina shaka kabisaAfya yako ya akili iko njema
9mm, 8 rounds. Mlio hatari!Inaingiza risasi ngapi?
Nenda Tanganyika Arms au duka la silaha la jeshi pale Upanga, utaelezwa kila kitu. Lakini kawaida si chini ya 1m.Hivi kumiliki mguu wa kuku bongo niandae kama sh. Ngapi?
Hapana bastola haifiki 1m!Nenda Tanganyika Arms au duka la silaha la jeshi pale Upanga, utaelezwa kila kitu. Lakini kawaida sinchini ya 1m.
sasa kama hairuhusiwi kuua/kujeruhi wanatupa ya niniYaani ukafie jela kwa kuua panya rod, heri uuwe tembo utoe meno ukikamatwa ujue moja
Mie si mshari, mchokozi na wala sina hasira.
Lakini toka majuzi panya rodi walipotetemesha hadi Kunduchi nikaona sasa wacha mbwai iwe mbwai.
Wanaume wa kanda Maalum Musoma wamezidi kutucheka.
Panya rodi mkiniona na subaru ya bluu na nakunywa mitaa ya Kunduchi njooni mnisalimie.
Nina salaam zenu.
9mm, 8 rounds. Mlio hatari!
[emoji38][emoji38][emoji38]Mie si mshari, mchokozi na wala sina hasira.
Lakini toka majuzi panya rodi walipotetemesha hadi Kunduchi nikaona sasa wacha mbwai iwe mbwai.
Wanaume wa kanda Maalum Musoma wamezidi kutucheka.
Panya rodi mkiniona na subaru ya bluu na nakunywa mitaa ya Kunduchi njooni mnisalimie.
Nina salaam zenu.