Toka majuzi natembea na bastola yangu, panya road hamjambo?

Usitegemee kukutana na vibaka hata wezi kama umejiandaa kukutana nao.
Kumbuka wanaongozwa na Roho pepo la wizi ambalo uwaepusha na shari.
Siku ukiacha tu kulinda au kuwasaka ndipo wanakuvamia au kukuibia.
 
Sasa wew kumbe ulikuwa nayo alafu ulikuwa unaacha nyumban sis huku arusha mda wowote huwa tunatembea na silaha zana zote zinakaa kwenye Key Holder
 
Tulizubaa sana kaka, unakuta hatutembei hata na kapanga dah
 
Sasa wew kumbe ulikuwa nayo alafu ulikuwa unaacha nyumban sis huku arusha mda wowote huwa tunatembea na silaha zana zote zinakaa kwenye Key Holder
Sitembei nayo full time.
Ila nikiingia safari ya usiku inakuwa companion.
Kuna siku nasafiri nikapita kipori kama cha 20km, hakuna nyumba na ni giza totoro.
Gari mbele yangu ikatokea ghafla toka porini ili kunisimamisha, sikusimama na nikawasha risasi.
Gari ile ikatokomea tena gizani.
Nilikuwa natetemeka kwa kupanda mori, lakini ikaiambia bastola yangu asante bwana mdogo.
 
Hujataja plate numbee mkuu na muonekano wako ili iwe rahis kukutambue mpimane ubavu
 
Njoo mitaa ya kunduchi na panga lako.
Nakuwasha ya goti tu, sina makubwa.
Utaishi maisha yako yote ukijutia.
Utakula nondo moja ya kichwa gafla bin vuu huomb hata maji yaan hata huo mkono wako hautofika kwenye tako ulipoficha hiyo bastola yako
 
Hahahaha
 
Huu Uzi bila picha ya Subaru ya bluu na bastola..haunogi
 
yani ushindwe kuwashusha hata watano kisa unaogopa jela kwanza ikishalia ile hamna mtu atabaki hapo so utapata upenyo wa kukimbia gari unaweza kuifata kesho
Unajua bange na valiumu watakufuata tu
 
Unajua bange na valiumu watakufuata tu
umewai kuusikia mlio wa bunduki mkuu bange huisha alafu kitaalam umampiga ring leader tu akianguka wote wanatulia
 
Yaan iyo kitu ukiwasha hewan tu kila mmoja atasema imenikosa mm,,,hamna atakayekaa tena hapo ni mwendo tu coz ile ikilia tu wazo la kwanza unalowaza ni kifo la pili kukimbia hahahahahaaaa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…