THE FIRST BORN
JF-Expert Member
- Apr 24, 2019
- 2,224
- 4,472
Messi kimemkuta Nini baaada ya kushinda Ballon D'or ya Wizi?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sidhani kama amekusikia....Leteni hapa kombe la dunia la Christiano Ronaldo ndio tutawasikiliza.
Kwanini kibu denis si hata ungemtaja neymerCristiano Ronaldo na Kibu Denis wote wawili hawana kombe la dunia.
Na hana majivuno wala nini....Kombe la dunia hili hapaView attachment 2816383
If my aunt had balls, she had be my uncleRonaldo anaangushwa na ureno angekua muingereza huenda angekua na world cup by now
Ningekuwa na pesa ningekuwa kama bakhresa 😁If my aunt had balls, she had be my uncle
Kibu na ronaldo hawana kombe la dunia. Amesikika mdau mmoja hapo juuKombe la dunia hili hapaView attachment 2816383
Mwambie Ronaldo nayeye afixSasa Ronaldo anaingiaje hapa jamani? Mtu kauliza swali lingine mnaleta mambo ya kombe la dunia.
Kombe lenyewe la mechi za kufix ili ashinde!
Rubbish.
Sio shida zake.Mwambie Ronaldo nayeye afix
Rubbish kwa sababu hakushinda ronaldo?Sasa Ronaldo anaingiaje hapa jamani? Mtu kauliza swali lingine mnaleta mambo ya kombe la dunia.
Kombe lenyewe la mechi za kufix ili ashinde!
Rubbish.
Sasa Mkuu si kila mtu ana maoni yake jamani?Rubbish kwa sababu hakushinda ronaldo?
Mpira wa miguu ni team work sio mtu mmoja, haya matokeo mabaya ya messi ni kawaida kwenye mpira na hawezi kuwa na ubora ule ule katika kipindi chote cha maisha ya soka, na hii ndio sababu tuzo zote hana yeye wala huyo anaeonekana ni bora zaidi. Mpira ni nyakati zikipita ndio basi, nyakati za messi na ronaldo ndio zinafika ukingoni, tukubali tukatae huo ndio uhalisia.