Toka Messi apewe Ballon d'Or ya 8 kwa wizi sijui amekuaje!

Toka Messi apewe Ballon d'Or ya 8 kwa wizi sijui amekuaje!

THE FIRST BORN

JF-Expert Member
Joined
Apr 24, 2019
Posts
2,224
Reaction score
4,472
Messi kimemkuta Nini baaada ya kushinda Ballon D'or ya Wizi?

Screenshot_20231117-062512_Flashscore.jpg
 
Sasa Ronaldo anaingiaje hapa jamani? Mtu kauliza swali lingine mnaleta mambo ya kombe la dunia.

Kombe lenyewe la mechi za kufix ili ashinde!
Rubbish.
Rubbish kwa sababu hakushinda ronaldo?
Mpira wa miguu ni team work sio mtu mmoja, haya matokeo mabaya ya messi ni kawaida kwenye mpira na hawezi kuwa na ubora ule ule katika kipindi chote cha maisha ya soka, na hii ndio sababu tuzo zote hana yeye wala huyo anaeonekana ni bora zaidi. Mpira ni nyakati zikipita ndio basi, nyakati za messi na ronaldo ndio zinafika ukingoni, tukubali tukatae huo ndio uhalisia.
 
Rubbish kwa sababu hakushinda ronaldo?
Mpira wa miguu ni team work sio mtu mmoja, haya matokeo mabaya ya messi ni kawaida kwenye mpira na hawezi kuwa na ubora ule ule katika kipindi chote cha maisha ya soka, na hii ndio sababu tuzo zote hana yeye wala huyo anaeonekana ni bora zaidi. Mpira ni nyakati zikipita ndio basi, nyakati za messi na ronaldo ndio zinafika ukingoni, tukubali tukatae huo ndio uhalisia.
Sasa Mkuu si kila mtu ana maoni yake jamani?
Hatuwezi kuwa na mtazamo unaofanana.

Yes, kulikuwa na nguvu kubwa ya FIFA kuonesha walitaka Messi ashinde kabla na baada ya fainali.
 
Back
Top Bottom