toka nimwambie mie ni bikira mmmh!

toka nimwambie mie ni bikira mmmh!

Kuna kitu kimenishangaza kwene hili, Wanaume walewale waliosema mtu akiolewa bila bikira anachukuliwa alikuwa malaya ndo hao hao wanasema. Bikira ya nini??

Haya wababa/wakaka, jpili njema.
 
Hivi unajua ukiwa mwongo uwe na kumbukumbu??? Boyfriend wako anajuaje na hamjadu ze nidiful??? Wewewe kuwa makinii alooohhh

c nilimwambia! kwani nlivosema na u jf nmedu na nyie? mie sio mwongo bana, uongo wht 4? mi nahitaji ushauri na ili upate ushauri mzuri unaitajika ujieleze vizur na ukwel!
 
kuna jamaa mmoja nmekuwa nae kwa muda mrefu, ingawa ni kind of long distance relationship ivi. amekuwa akitaka tudo mara kwa mara ila nmemkatalia. cku moja nliamua kumwambia ukwel kwamba im still a virgin na ndo mana ni mwoga. basi toka cku iyo cmwelew mana cku iliyofuata tuu aliniletea engagement ring "nliikubali mana i waz on shock", ananipigia cm mara kwa mara ckuizi more than b4 n he real spy on me kumake sure ctembei na m2. sasa swali linakuja "JE ANANIPENDA KWELI AU NDO ANATAKA ANICHAKACHUE?"

Hiyo bikira unayo kweli au zuga tu. Issue siyo bikira, kama anakupenda na wewe unampenda mjadili. Mnapokuwa marafiki, ninyi ndo mnaamua urafiki wenu uelekee wapi, ukiringia bikira itakuozea!
 
kuna jamaa mmoja nmekuwa nae kwa muda mrefu, ingawa ni kind of long distance relationship ivi. amekuwa akitaka tudo mara kwa mara ila nmemkatalia. cku moja nliamua kumwambia ukwel kwamba im still a virgin na ndo mana ni mwoga. basi toka cku iyo cmwelew mana cku iliyofuata tuu aliniletea engagement ring "nliikubali mana i waz on shock", ananipigia cm mara kwa mara ckuizi more than b4 n he real spy on me kumake sure ctembei na m2. sasa swali linakuja "JE ANANIPENDA KWELI AU NDO ANATAKA ANICHAKACHUE?"

Huyo anatamani hiyo bikra yako akisha ikata huyoooooooo anaenda kwa wazoefu na kukusababishia machungu
 
kuna jamaa mmoja nmekuwa nae kwa muda mrefu, ingawa ni kind of long distance relationship ivi. amekuwa akitaka tudo mara kwa mara ila nmemkatalia. cku moja nliamua kumwambia ukwel kwamba im still a virgin na ndo mana ni mwoga. basi toka cku iyo cmwelew mana cku iliyofuata tuu aliniletea engagement ring "nliikubali mana i waz on shock", ananipigia cm mara kwa mara ckuizi more than b4 n he real spy on me kumake sure ctembei na m2. sasa swali linakuja "JE ANANIPENDA KWELI AU NDO ANATAKA ANICHAKACHUE?"

Hiyo bikra kweli unayo au ndo kuuza sura tu jukwaani hapa?
Una uhakika ipo na nani alikupima na akaiona?
 
Pamoja na kwamba pengine ni dhambi, lakini kuoa mwanamke bikira ni hatari sana hasa hawa wanaopitia kwenye JF na mitandao mingine. Kuna hadithi za ajabu sana humu kiasi ambacho huyo aliyeolewa bikira atataka kujaribu mambo tofauti aliyosikia humo ambayo mme wake hana.

Kuna demu humu kashangaa sana hapa juzi kuwa mwanaume anaweza ku do na mwanamke dakika 45 kabla ya kushusha mzigo, hatari yake anatamani aone maana mme wake yeye eti ni 5 to 8 or 10 dakika.

Acha bikira zitolewe huko primary na secondary mkija kwenye ndoa muwe tayari ok, lakini si vizuri ukafanywa jamvi la kijiji/shule/mtaa/mji. CV yako isije kuwa mbaya sana.

Kwa hiyo wewe ndo kiongozi wa mandamano ya kuhamasisha uzinzi???
 
experience inahitajika katika kila sehemu siku hizi,unaweza kuwa na cheti kizuri lakini ukawa hufai kwa kukosa experience,vivyo hivyo kwa mwanamke,kujitangazia bikra ni kutangaza kuwa huna kabisa experience ya mapenzi,una rumors 2 za mapenzi!wa2 wengi wanataka vi2 ambavyo vipo tayari kwa matumizi!
kama xperience inahitajika wale fresh from school ndo inakuwaje?, hii sio applicatino ya kazi ujue! ni mapenzi!!!!
 
Kuna kitu kimenishangaza kwene hili, Wanaume walewale waliosema mtu akiolewa bila bikira anachukuliwa alikuwa malaya ndo hao hao wanasema. Bikira ya nini??

Haya wababa/wakaka, jpili njema.
hata mie natafakari bila majibu hapa! bikira sijui wanazitaka au hawazitaki:A S-confused1:

j2 njema pia
 
kama xperience inahitajika wale fresh from school ndo inakuwaje?, hii sio applicatino ya kazi ujue! ni mapenzi!!!!

Kati umri huo alio nao ni kweli hana bikra au hajawahi fanya mapenzi?
 
Hakikisha unayafanyia kazi sio unamwachia jamaa anakata seal kilaini mbanie mpaka atangaze NIA
atangaze nia mara ngapi, si engagement alitoa siku moja baada kuambiwa binti ana seal!
habari ya j2
 
Kati umri huo alio nao ni kweli hana bikra au hajawahi fanya mapenzi?
yawezekana anayo na hajafanya mapenzi kweli, ila kati kundi la mabinti 100 wa leo unapata m1 wa hivi au hata usipate kabisa
 
yawezekana anayo na hajafanya mapenzi kweli, ila kati kundi la mabinti 100 wa leo unapata m1 wa hivi au hata usipate kabisa

Aseme toka azaliwe hajafanya matusi tutamwelewa lakini bikra mpaka ukubwani sidhani kama bado ipo
 
atangaze nia mara ngapi, si engagement alitoa siku moja baada kuambiwa binti ana seal!
habari ya j2

Njema mama kwema lakini?
Huyo anatangaza nia ya kuoa hapo anataka amege alafu aaangalie je kitu used au new
 
yawezekana anayo na hajafanya mapenzi kweli, ila kati kundi la mabinti 100 wa leo unapata m1 wa hivi au hata usipate kabisa

Hata huyo mmoja ukimpata labda kazaliwa leo hajatimiza mwezi
 
Njema mama kwema lakini?
Huyo anatangaza nia ya kuoa hapo anataka amege alafu aaangalie je kitu used au new

Umeonaa eehhh hiyo BIKIRA itatoka wapi??? Amege kisha asepe ha ha ha ha Fidel wewe!!!
 
Back
Top Bottom