bahati93
JF-Expert Member
- Aug 6, 2015
- 1,334
- 2,463
Israel mambo yake yanaogofya sana! Kama taifa lenu halipo timamu kujifanya kutunishia misuli Israel basi mjue mnaweza msitoboe miaka ijao.
Kisa cha kwanza punda kuongea.
Baalam
wakati wana wa Israel wametoka Utumwani misri wanaelekea taifani mwao waliweka kambi pembezoni mwa mto jordan eneo la Moab. Mfalme wa Moab Balak alivyowaona wana wa Israel jinsi walivyo fiti pia alisikia story jinsi walivyowatandika falme jirani akaona apa siwezi kuwavamia kuwafukuza ila nina mtaalam inabidi nimtume aende kuwalaani.
Mwamba mwenyewe mfalme aliyemfwata alikuwa anaitwa Balaam, huyu jamaa hakuwa wa mtu wa kawaida yeye alikuwa kama antena ya kukamata nguvu za kiroho. Baada ya kupewa tenda mwamba akapanda punda wake huyo akawa anaelekea kutoa laana. Mara ya kwanza wakiwa njiani punda akamwona makaika yupo na upanga ikabidi punda kuacha njia kaingia kichakani, jamaa kumpiga punda mara ya pili malaika yupo katikati ya barabara punda ikajibana pembeni na kupelekea kugandamiza mguu wa mtaalamu, jamaa kampiga tena na mara ya tatu kwenye uchochoro malaika kachomoa upanga, tujue mara zote ni punda tu ndiye aliyekuwa akimwona malaika kwa hii mara ya tatu punda akabidi agome kuendelea na safari. Ndipo Baalam akanza kumpiga kitendo kilichomfanya punda kuropoka
" Nimekufanyia nini mpaka unipige mara hizi tatu"
Kwa Kufupisha tu jamaa wanakwambia alianguka kifood fudi sura kailaza flat kwenye mchanga.. Mwisho wa siku akaenda kuwabariki Israel mara tatu...
Hatarii sana
Kisa cha pili kinamhusu Friedrich Nietzsche
huyu mwanaphilosophy wa kijerumani ambaye vitabu vyake vilitumiwa na wa Nazi kimakosa kufanikisha kujenga chuki kwa wayahudi. Ni miaka ya majuzi tu 1889 jamaa akiwa anatembea zake mtaani ghafla akashuhudia farasi akichapwa mijeledi hapo hapo jamaa alianza kulia kwa maumivu makubwa huku akizuia farasi asipigwe huku akisema anajua machungu anayoyasikia farasi huku akimkumbatia farasi akimpa pole na kuongea nae. Tokea siku hiyo jamaa akawa sio yeye tena akawa mwehu.
Inatisha sana, sasa kama wewe bado unaendelea kukaza shingoo hayaa endelea tu ila juaa Israel habeep anakupigia.
Kisa cha kwanza punda kuongea.
Baalam
wakati wana wa Israel wametoka Utumwani misri wanaelekea taifani mwao waliweka kambi pembezoni mwa mto jordan eneo la Moab. Mfalme wa Moab Balak alivyowaona wana wa Israel jinsi walivyo fiti pia alisikia story jinsi walivyowatandika falme jirani akaona apa siwezi kuwavamia kuwafukuza ila nina mtaalam inabidi nimtume aende kuwalaani.
Mwamba mwenyewe mfalme aliyemfwata alikuwa anaitwa Balaam, huyu jamaa hakuwa wa mtu wa kawaida yeye alikuwa kama antena ya kukamata nguvu za kiroho. Baada ya kupewa tenda mwamba akapanda punda wake huyo akawa anaelekea kutoa laana. Mara ya kwanza wakiwa njiani punda akamwona makaika yupo na upanga ikabidi punda kuacha njia kaingia kichakani, jamaa kumpiga punda mara ya pili malaika yupo katikati ya barabara punda ikajibana pembeni na kupelekea kugandamiza mguu wa mtaalamu, jamaa kampiga tena na mara ya tatu kwenye uchochoro malaika kachomoa upanga, tujue mara zote ni punda tu ndiye aliyekuwa akimwona malaika kwa hii mara ya tatu punda akabidi agome kuendelea na safari. Ndipo Baalam akanza kumpiga kitendo kilichomfanya punda kuropoka
" Nimekufanyia nini mpaka unipige mara hizi tatu"
Kwa Kufupisha tu jamaa wanakwambia alianguka kifood fudi sura kailaza flat kwenye mchanga.. Mwisho wa siku akaenda kuwabariki Israel mara tatu...
Hatarii sana
Kisa cha pili kinamhusu Friedrich Nietzsche
huyu mwanaphilosophy wa kijerumani ambaye vitabu vyake vilitumiwa na wa Nazi kimakosa kufanikisha kujenga chuki kwa wayahudi. Ni miaka ya majuzi tu 1889 jamaa akiwa anatembea zake mtaani ghafla akashuhudia farasi akichapwa mijeledi hapo hapo jamaa alianza kulia kwa maumivu makubwa huku akizuia farasi asipigwe huku akisema anajua machungu anayoyasikia farasi huku akimkumbatia farasi akimpa pole na kuongea nae. Tokea siku hiyo jamaa akawa sio yeye tena akawa mwehu.
Inatisha sana, sasa kama wewe bado unaendelea kukaza shingoo hayaa endelea tu ila juaa Israel habeep anakupigia.