Kuna mipango mikubwa Ya Mungu.... Hilter alitumikaa tu kufanikisha kuundwa taifa la Israel bila hilter mpaka leo wayahudi wangekuwa wamelowea nchi za a mataifa mengine.Tukienda historically, Adolf Hitler aliuwa Waisraeli zaidi ya Million 5. Je, yeye wakati anatimiza hayo mauaji kwa watu wateule Mungu wao alikuwa wapi?
Over..
Yaani Nadharia ya Mungu iliitengenezwa such that Mungu akosei.Tukienda historically, Adolf Hitler aliuwa Waisraeli zaidi ya Million 5. Je, yeye wakati anatimiza hayo mauaji kwa watu wateule Mungu wao alikuwa wapi?
Over..
Naomba akikujibu uni tag mkuuTukienda historically, Adolf Hitler aliuwa Waisraeli zaidi ya Million 5. Je, yeye wakati anatimiza hayo mauaji kwa watu wateule Mungu wao alikuwa wapi?
Over..
Kwahiyo Mungu alimtengeneza Hitler aje kuwaua wayahudi milioni 5.?Yaani Nadharia ya Mungu iliitengenezwa such that Mungu akosei.
Jibu lake huwa "Mungu aliruhusu, wateseke ili awape nchi".
Watu waliounda Biblia walikuwa smart sana
Mungu hakosei, Nadharia ya Mungu ni complexKwahiyo Mungu alimtengeneza Hitler aje kuwaua wayahudi milioni 5.?
Pole sana jifunze kuwaza critical kwa reference.. Na kwa taarifa yako bible ndio kitabu cha kwanza mawaxo yote yaba reference kutuka kwenye bibilia. utashi wote wa mwanadamu unaanzia kwenye bibilia.Kwenye hizi vita MTU akija na Ngano na myth za sijui bible sijui Quran kwangu waga namuona ni mpumbavu TU
Hata usome mpaka uwe na PhD lla Kama umeshika hivi vitabu viwili ukashindwa kua na critical thinking skills Bado utakua mpumbavu TU
Mkuu niamini mimi ni Mungu.Mungu hakosei, Nadharia ya Mungu ni complex
Hata jews sio wote wanafuata mila zao mzee.Wamasai wanaokuja mjini watoto wao
Hivi unajua kama baada ya nchi ya Israel kuanzishwa, ni waisrael wachache sana ndo walienda kuishi hapo wengine walitapakaa nchi tofauti tofauti kwasababu ndo kuna amani?Kuna mipango mikubwa Ya Mungu.... Hilter alitumikaa tu kufanikisha kuundwa taifa la Israel bila hilter mpaka leo wayahudi wangekuwa wamelowea nchi za a mataifa mengine.
Amejibu PUMBA tu, anafosi utakatifu bila Facts.Naomba akikujibu uni tag mkuu
Hahaha unafurahisha hivi kwenye ubongo wako unawaza bible Ndio kitabu Cha kwanza like seriously? U have long way to go jipe time ujifunze kuhusu Buddhism, Shinto na article za Confucianism maarifa ni mengi out there but wisdom ni kuyachujaPole sana jifunze kuwaza critical kwa reference.. Na kwa taarifa yako bible ndio kitabu cha kwanza mawaxo yote yaba reference kutuka kwenye bibilia. utashi wote wa mwanadamu unaanzia kwenye bibilia.
Hata jews sio wote wanafuata mila zao mzee.
Ni wanadamu kama sisi wanakunya, kukojoa, wanakula na kila kitu, tofauti no mindsets tu, vipaumbele n.k.
Hata Africa kulikuwa na manabii mitume na watu wenye vipawa vya ajabu ndio maana nikasema tulipofail ni ku document vitu, mfano kuna mitishamba walitumia wazee ilipaswa viwe documented, historia zao pia ziwe documented ndio maana mtume katika uislamu kilikuwako na watu ambao wali document kila jambo, Yesu pia kuna watu wali document kila alilofanya ndio tunasikia Agano jipya.
Tuwe na desturi ya ku document vitu, inasaidia sana.
Wamefutika kivipi au katika upande upi?Ni kweli unachosema kuhusu kudocument na hicho ndio kitu kinachoonyesha utofauti wa jew na watu wa mataifa Ya Africa.
Hata hivyo tukumbuke siyo wao tu waliokuwa na uwezo wa kuandika katika zama hizo za kale. Kuna mataifa kama egypt, wagiriki, wababilon, warumi na wengineo cha kushangaza wote wamefutika! Hawapo ili zimebaki alama zao tu. Sasa ujiulize kwa nini hawo mbali na kujua kuandika wamefutika?
Ndio vitabu vipo vingi vya kale, kwa sisi waafrika tumeasili tamaduni wa western ambao bibilia ndo kitabu number moja alafu vingine vinafwata. Kama wewe unafwata vitabu vya wala nyoka na konokono sawa endelea kupoteaHahaha unafurahisha hivi kwenye ubongo wako unawaza bible Ndio kitabu Cha kwanza like seriously? U have long way to go jipe time ujifunze kuhusu Buddhism, Shinto na article za Confucianism maarifa ni mengi out there but wisdom ni kuyachuja
Yes Israel is Africa sio ma zionistIsrael mambo yake yanaogofya sana! Kama taifa lenu halipo timamu kujifanya kutunishia misuli Israel basi mjue mnaweza msitoboe miaka ijao.
Kisa cha kwanza punda kuongea.
Baalam
wakati wana wa Israel wametoka Utumwani misri wanaelekea taifani mwao waliweka kambi pembezoni mwa mto jordan eneo la Moab. Mfalme wa Moab Balak alivyowaona wana wa Israel jinsi walivyo fiti pia alisikia story jinsi walivyowatandika falme jirani akaona apa siwezi kuwavamia kuwafukuza ila nina mtaalam inabidi nimtume aende kuwalaani.
Mwamba mwenyewe mfalme aliyemfwata alikuwa anaitwa Balaam, huyu jamaa hakuwa wa mtu wa kawaida yeye alikuwa kama antena ya kukamata nguvu za kiroho. Baada ya kupewa tenda mwamba akapanda punda wake huyo akawa anaelekea kutoa laana. Mara ya kwanza wakiwa njiani punda akamwona makaika yupo na upanga ikabidi punda kuacha njia kaingia kichakani, jamaa kumpiga punda mara ya pili malaika yupo katikati ya barabara punda ikajibana pembeni na kupelekea kugandamiza mguu wa mtaalamu, jamaa kampiga tena na mara ya tatu kwenye uchochoro malaika kachomoa upanga, tujue mara zote ni punda tu ndiye aliyekuwa akimwona malaika kwa hii mara ya tatu punda akabidi agome kuendelea na safari. Ndipo Baalam akanza kumpiga kitendo kilichomfanya punda kuropoka
" Nimekufanyia nini mpaka unipige mara hizi tatu"
Kwa Kufupisha tu jamaa wanakwambia alianguka kifood fudi sura kailaza flat kwenye mchanga.. Mwisho wa siku akaenda kuwabariki Israel mara tatu...
Hatarii sana
Kisa cha pili kinamhusu Friedrich Nietzsche
huyu mwanaphilosophy wa kijerumani ambaye vitabu vyake vilitumiwa na wa Nazi kimakosa kufanikisha kujenga chuki kwa wayahudi. Ni miaka ya majuzi tu 1889 jamaa akiwa anatembea zake mtaani ghafla akashuhudia farasi akichapwa mijeledi hapo hapo jamaa alianza kulia kwa maumivu makubwa huku akizuia farasi asipigwe huku akisema anajua machungu anayoyasikia farasi huku akimkumbatia farasi akimpa pole na kuongea nae. Tokea siku hiyo jamaa akawa sio yeye tena akawa mwehu.
Inatisha sana, sasa kama wewe bado unaendelea kukaza shingoo hayaa endelea tu ila juaa Israel habeep anakupigia.
Warumi sio ndio hawa wamesambaa dinia nzima wakijiita Roman Catholic, warumi si ndio ilikuwa dola ya Roma, kwani Roma haipo leo?Hawapo kwenye uso wa dunia yamebaki majengo yao
Warumi sio ndio hawa wamesambaa dinia nzima wakijiita Roman Catholic, warumi si ndio ilikuwa dola ya Roma, kwani Roma haipo leo?
Wababiloni ndio hao wapo hapo middle east Iraq, syria na maeneo ukanda huo..
Egyptians kwani hawapo?
Hata Israel yenyewe sasa hivi ndipo wanajitafuta walikuwa hawana hata pa kukaa, wamerudi kwenye hilo eneo juzi tu 1945, wakati hata sisi waTanzania mwaka 1905 babu zetu kina Kinjekitile wanapambana kumtoa mkoloni wao hawana pa kukaa.
Wao ndio wamepote zaidi ukilinganisha na ukubwa wa dola yao ilivyokuwa.