DOKEZO Tokea tarehe 19 Novemba, mgonjwa wangu ndio kwanza kafanyiwa UTRASOUND Muhimbili. Changamoto ni nyingi sana

Hili ni dokezo maalum toka kwa mwananchi mtumiaji wa JF mwenye nia ya kuusaidia umma kuwa na taarifa 'maalum'
Tuchangie huduma zipi? kununua mashine? Ujinga jinga ujinga, Yaani report ya CAG mwaka huu zimepigwa karibia trilion 1 na waliopiga Mama kawasamehe then unataka sisi raia tuchangie tena huduma?

Huu ujinga unapaswa kukoma kwa Watanzania.

Tukiendelea na uzezeta wa ina hii hakuna rangi tutataacha kuona
 
hawa ndio wale utasikia sitaki Siasa, anasahau kila kitu ni siasa katika nchi hii,
 
usipochangia nani unategemea achangie??
 
Dah,pole kwa kuuguza mkuu, usemacho nikweli kwa hospital zetu hizi, natamani kesho nije kuchangia damu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…