Tongue Rings, Hot or Not

Hahaha, sawa ntaifanyia kazi hiyo 10%

Sikujua uko kwenye eneo la hii kazi pia, teh!
Ukimmotivate hivi haki ataianza hii kazi maana shuguli zake huyu anazijua mwenyewe!! Alikuwa anauza kufuli za kike biashara ikafa hata sikumuuliza, namuangalia tu.

Sijui ndio kuzeeka vibaya hata sielewi.
 
Ukimmotivate hivi haki ataianza hii kazi maana shuguli zake huyu anazijua mwenyewe!! Alikuwa anauza kufuli za kike biashara ikafa hata sikumuuliza, namuangalia tu.

Sijui ndio kuzeeka vibaya hata sielewi.


😀😀😀...Asante kunianzishia siku vizuri mbona!
 
Reactions: BAK
Ukimmotivate hivi haki ataianza hii kazi maana shuguli zake huyu anazijua mwenyewe!! Alikuwa anauza kufuli za kike biashara ikafa hata sikumuuliza, namuangalia tu.

Sijui ndio kuzeeka vibaya hata sielewi.


Tatizo liko wapi lakini, mradi analeta mboga jamani?
 
We unaona kabisaaa hapo mkate unaotafutwa ni wa siku!!


Sasa kwani nini isiwe hivyo atoto, lakini naona tunapishana sababu mie namuona kama mfanyabiashara na mtafutaji mzuri, lakini wewe hukubaliani kwa sababu ni baba mtoto...lol
Which is understandable.
 
Sasa kwani nini isiwe hivyo atoto, lakini naona tunapishana sababu mie namuona kama mfanyabiashara na mtafutaji mzuri, lakini wewe hukubaliani kwa sababu ni baba mtoto...lol
Which is understandable.
Sio kwasababu ni baba watoto!! Ila huu ni mzimu wangu naujua mwenyewe.
 
Reactions: kui
Sio kwasababu ni baba watoto!! Ila huu ni mzimu wangu naujua mwenyewe.


Sawa mamie, wewe ndo unajua kumdhibiti..

Msamehe tu lakini, sidhani kama alikuwa na nia mbaya, kasema hao wadada wa Kilatino, anapenda kuwaangalia tu na pin zao..🙂
 

Yaani kutoboa sikio kwa kasindano kadogo mnaogopa, lakini mlipotobolewa na "bazooka" hamkuogopa. Tena mlijipeleka wenyewe!!!
Mie mara ya mwisho nikiwa form1, imebaki tu ile ya kidoleni nayo shughuli yake pevu!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…