GENTAMYCINE
JF-Expert Member
- Jul 13, 2013
- 60,660
- 121,325
Kama tulithubutu Kumsajili Babu Ntibazokiza mwenye Miaka 51 sasa kwanini tushindwe kwa Mukoko mwenye 19 sasa?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nishobokee ule BAN ujute.Leo tumevamiwa dk 2 tu nyuzi 30 zote ni.....
Huwezi sababisha nipate ban,Nishobokee ule BAN ujute.
Hovyoooooooooo...!Huwezi sababisha nipate ban,
Me Nina akili nyingi, na comment kistaarabu
Me ndo nimekulisha ban nyingi, ukijaa
Wewe Pimbi umenifanya Nicheke hadi Wanajeshi wa Museveni hapa nilipo nao mahala wamenishangaa. Niukweke au?Vp mzee umeukweka kwanza?
Ukweke kwanza ndo mastor ya tonombe yatanoga.Wewe Pimbi umenifanya Nicheke hadi Wanajeshi wa Museveni hapa nilipo nao mahala wamenishangaa. Niukweke au?
Ki uhalisia Mukoko pale Simba anacheza bila tatizo lolote kwakua Simba mpaka Sasa hawana namba 6 halisi.Viongozi wa Simba walivyo mabwege,wanaweza kusikikiliza maoni ya watu kama hawa
Nakubaliana nawe 100% Mkuu na Wewe utakuwa Unaujua sana Mpira wa Miguu kama Mimi na pia unaonyesha Umeucheza.Ki uhalisia Mukoko pale Simba anacheza bila tatizo lolote kwakua Simba mpaka Sasa hawana namba 6 halisi.
Yeah, yuko pale pale Nile Mansions alipokuwa akiishi Idi Amin na Isaac Malyamungu.Kwa hiyo Genta Uganda uko Ikulu siyo