Hivi kwanini hao wanafunzi wanao toka shule hizo za sant sant wakifika vyuo vikuu wanadisco tuu au wanashindwa kabisa wakati wanakuja na division one kariii?? Na kingereza kama cha ulaya!! Chuoni naona wanaofanya vzr niwale wanaotokea shule za kawaida kabisa na wanajua nini wanafanya.
wewe utakuwa ni kijana wa dotikomu, hizo shule za private zimeanza miaka ya 2000, nyuma ya hapo ilikuwa private wanaenda watu waliofeli std 7 na ilikuwani aibu kusema unasoma private school
wewe utakuwa ni kijana wa dotikomu, hizo shule za private zimeanza miaka ya 2000, nyuma ya hapo ilikuwa private wanaenda watu waliofeli std 7 na ilikuwani aibu kusema unasoma private school
Hivi kwanini hao wanafunzi wanao toka shule hizo za sant sant wakifika vyuo vikuu wanadisco tuu au wanashindwa kabisa wakati wanakuja na division one kariii??
Na kingereza kama cha ulaya!! Chuoni naona wanaofanya vzr niwale wanaotokea shule za kawaida kabisa na wanajua nini wanafanya.
Very very true, zamani private ilikuwa ni kwa wale waliofeli lakini angalau mzazi anashamba la kahawa au mpunga, hata mzazi anakupeleka shule akiwa na hasira. lakini saivi mambo yamegeuka upside down
Habari ndio hiyo. Hawa hajui shule maalumu.
Shule ulizotaja ndio zenyewe. Nimesoma Warsaw (Tabora Girls) hapo kuingia ilikuwa ni mwanafunzi msichana wa kwanza kwenye wilaya na Tabora boys ni mvulana wa kwanza kwenye wilaya.
Enzi hizo kweli kulikuwa na usawa kwani asilimia kubwa waliosoma shule zote ulizotaja ni vichwa maeneo mengi. Ukilinganisha na hawa wa Best schools za sasa sijui wanaishia wapi?
Nyie ndo mmeifanya nchi yetu kuwa maskini,mnajidai mlikuwa vizuri kichwani lkn mikataba tu ya nchi inawashinda,nyie ndo mmeifikisha nchi hapa ilipo,Elimu isiyo na manufaa ni sawa na Ujinga tu,kwanza heri ujinga usio na madhara kuliko elimu isiyo na manufaa.Nchi hii almost everybody kilaza tu.
Ni sawa na kumlinganisha kuku wa kienyeji na kuku wa kisasa, kuku wa kienyeji amezoea mazingira magum ya kujitaftia chakula wakati kuku wa kisasa amekaa bandani akisubiri fadhila za mfugaji ndipo ale.
So wanafunz wa saint kayumba ni sawa na kuku wa kienyej ilhali hawa wengine ni kuku wa kisasa. So inapofika kwenye msuli wa chuo lazma wakae maana hawajazoea kusaka madesa wao kaz yao kusubiri waletewe kila kitu, kwa hali hii lazma wacheze samba mwisho wa mwaka
Asikudanganye mtu hizo theory za kusema waliotoka shule X ndo wanadisco sana unajidanganya.Mie toka nipo mdogo nilikuwa naambiwa hivyo nilivyofika chuo nikaona jamaa waliopata msingi mzuri wanaendelea kupeta tu.
Hizo takwimu za kuwa waliopata base nzuri ndo wanafeli sijui zipo wapi? Watu wanarithishana tu ujinga kuwa watu watikao shule X ndo wanadisco sana,huu ni uongo tu.
Msuli wa chuo wote mnaanza vipya na yule anayefuatisha vizuri na kuwa na mazoea ya kujisomea ndo anafanya vizuri.
ndio ilikua ina maanisha uli feli serekariIlikuwa aibu kusema unasoma shule ya private?
Ndiyo kwanza nayasikia leo hayo maana mimi nimesoma private na sijui hata mmoja niliyesoma naye ambaye alikuwa anaona aibu.
ndio ilikua ina maanisha uli feli serekari
Ilikuwa aibu kusema unasoma shule ya private?
Ndiyo kwanza nayasikia leo hayo maana mimi nimesoma private na sijui hata mmoja niliyesoma naye ambaye alikuwa anaona aibu.
Nawe utakuwa mtoto wa majuzi tu. Private ilikuwa ni kwa waliofail. Zile za dini zilikuwq ni seminari na hasa ziliandaa watu wao kwa ajili ya dini siyo ushindani huu wa kupenda kuwa wa kwanza!
Tatizo wanaobishania humu ni watoto walisoma miaka ya juzi kuanzia miaka ya elfu mbili.Sisi tuliosoma enzi hizo za Mwalimu tunazijua shule ambazo ukisoma kila mtu anakukubali na zilikuwa zinajulikana kama shule za vipaji maalumu.Nikianza kwa kuzitaja kulikuwa na shule maalumum kama;
TABORA BOYS,TABORA GIRLS,MAZENGO,MOSHI TECHNICAL,TANGA TECHNICAL,IFUNDA TECHNICAL,MTWARA TECHNICAL NA RUVU BOYS. Anayebisha atakuwa ni kati ya wale waliosomo miaka ya hivi karibuni kuanzia miaka ya 2000 na kuendelea,Kulikuwa hakuna cha Mzumbe wala Ilboru wakati huo.