Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
The best school is feza boys, I remember miaka ya 2000 to 2005 ilikuwa inachukua wanafunzi wa kawaida ambao hata la 7 hawakufaulu nikiwemo mimi ila walimu wanakutengeneza failure wa standard 7 kuja kuwa na akili na kupata flying colors form 4 and form 6 na hata university as kwa msingi waliokuandaa,, but mzumbe, ilboru, kilakala na zinginezo zilikuwa zinapata watu vichwa tayari ambao hata bila kufundishwa wanafaulu.
Nakwambia ukisoma feza hata uwe mjinga vipi utafundishwa hadi ukasirike mwenyewe na at the end of the day unafaulu vibaya na hata kuitingisha nchi,, kuna watu nilisoma nao walifeli la 7 lakin form 4 na 6 wakaja kuingia national top ten na hata university wakaenda kupiga gpa za kufa mtu, imagine hao watu wangesoma shule zisizojua kuwafanya wanafunzi wawe smart wangeishia wapi kama sio kuendeleza zero tu
Mpaka leo nashindwa kuelewa mwanaasha alifeli vp feza girls wakati ni feza girls ni pacha wa feza boys
Bado sijaona private schools za kuingia top 10 katika historia ya Tanzania..
A.S Thind aliondoka.Mkuu mtoa mada umesahau mzizima ilikuwa hatari kpindi chake,ni moja ya shule bora kabisa kwa watu waliosoma miaka ya tisin adi elfu mbli watakuwa wanaifaham,sjui sku hzi imepatwa na nn matokeo yake nayo yamekuwa mabovu sio ile mzizima niliyokuwa naifaham
😂😂😂😂😂😂😂badoo tu mnaendelea kuaamini kuwa kuna best school!
kwa ulimwengu wa sasa kuna best candidates, ure performance will determine the best
ukiwa na akili kama zawachangiaji waliotangulia utashindwa maisha ,then bado wanaoneka mawazo yao ni ya kitoto sana
kama bado mpo shule someni kwa bidii,kama mshamaliza tafuteni hela kwa bidii zote pamoja na amani moyoni
nawasilisha
Anachosema ni kweli kipindi hicho private walikuwa wanachukua waliofeli ,ila kama umesoma kuanzia 2000 Mambo yalikuwa yameshabadilikaIlikuwa aibu kusema unasoma shule ya private?
Ndiyo kwanza nayasikia leo hayo maana mimi nimesoma private na sijui hata mmoja niliyesoma naye ambaye alikuwa anaona aibu.
Hebu mkuu tusaidie mbinu Gani walikuwa wanazitumia kuwawezesha hao wenye ufaulu mdogo kufanya vizuri sana....Lakini Usitaje jina la mtu aliyefeli hapo mwishon si vizuri kkThe best school is feza boys, I remember miaka ya 2000 to 2005 ilikuwa inachukua wanafunzi wa kawaida ambao hata la 7 hawakufaulu nikiwemo mimi ila walimu wanakutengeneza failure wa standard 7 kuja kuwa na akili na kupata flying colors form 4 and form 6 na hata university as kwa msingi waliokuandaa,, but mzumbe, ilboru, kilakala na zinginezo zilikuwa zinapata watu vichwa tayari ambao hata bila kufundishwa wanafaulu.
Nakwambia ukisoma feza hata uwe mjinga vipi utafundishwa hadi ukasirike mwenyewe na at the end of the day unafaulu vibaya na hata kuitingisha nchi,, kuna watu nilisoma nao walifeli la 7 lakin form 4 na 6 wakaja kuingia national top ten na hata university wakaenda kupiga gpa za kufa mtu, imagine hao watu wangesoma shule zisizojua kuwafanya wanafunzi wawe smart wangeishia wapi kama sio kuendeleza zero tu
Mpaka leo nashindwa kuelewa mwanaasha alifeli vp feza girls wakati ni feza girls ni pacha wa feza boys
Iyo mbona ni kweli, private walikuwa wanasoma wajinga waliofeli darasa la saba lakini labda utwambie wewe ni mwaka gani tusijekuwa tunaongea na watoto wa 2000 samahani lakiniIlikuwa aibu kusema unasoma shule ya private?
Ndiyo kwanza nayasikia leo hayo maana mimi nimesoma private na sijui hata mmoja niliyesoma naye ambaye alikuwa anaona aibu.