Top 10: Majina ya kipekee zaidi kutoka Tanzania

daah mmemsahau mtu maarufu sana. anaitwa MBONILE, yupo UDSM
 
Haya majina nomaa' Dr Kisenge kcmc hospital 2003-2008 , mama mamboro sombetini Arusha, kali zaidi ni ule uwanja mkubwa wa mpira wa migu kule Japani unaoitwa KUMAMOTO.
 
SHOSTEN ZAKAZAKA - Mkulima maarufu wa matunda Tanga
Mohammed Mbayuwayu - Nilifanya naye kazi miaka ya 70
ASP Kaswende - Alikuwa kamanda wa pilisi Dodoma,(sijui siku hizi yuko wapi)
 
Musembi Kibundu - Motfort Secondary schoo and Lupata Secondary School
 

ulivyo wa ajabu, unaweza kupeleka kwa academician eti waijadili thesis yako upewe udk au uprof
 

yaani mtoto wa kishua umenikumbusha mbali sana na hii list yako, wengi sana nawafahamu hapo na sijawaona siku nyingi daaaah
 
Interviewer: Mtahiniwa tafadhali tupe jina lako..Interviewee: TAKOTAKO WA PUMBUJE

Interviewer: Umesemaje?Interviewee: TAKOTAKO WA PUMBUJE

Interviewer: pumbav Toka Nje.. kazi Hakuna..Unaleta maskhara!!??

 
Mohamed Kalikung'ute wa Mpakani Primary School(Mabibo) - 1977-1983. RIP.
 
Ludungulwanyi Tumbulandembwe - mkulima nyanzwa kijiji cha ujamaa!
 
JOHN POMBE ya Tabu Magufuli....................ilitamkwa kwa mara kwanza alipotambulishwa kama askari wa mwavuli wa serikali ya ChebRAZA BEN! lakaini ikafutika na kuishia hapo kwenye POMBE
 
Interviewer: Mtahiniwa tafadhali tupe jina lako..Interviewee: TAKOTAKO WA PUMBUJE

Interviewer: Umesemaje?Interviewee: TAKOTAKO WA PUMBUJE

Interviewer: pumbav Toka Nje.. kazi Hakuna..Unaleta maskhara!!??


jina limemkosesha kazi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…