Top 10: Majina ya kipekee zaidi kutoka Tanzania

Tarugaba Nyakutununtu Infwabakachura sijui yupo hai huyu afande?

Ndugu Ndugumajani

Mwenyekiti Badokufa
 
Difficult Maskini Mahela mhitimu University of Arusha 2010, na mwalimu katika halmashauri ya Bariadi
 
Etyefyose wagagaikagilile bwiru girls-2015
ambilikile masapila mgaga wa chama tawala
heavenlight Livingstone taqwa 2007
mwasakafyuka mwakipesile nsumba 2010
 
heshima yako ndugu shikamoo mara saba du ulisoma sec zamani sana na naona ni zamani coz ndo miaka nlokua nazaliwa 1988-1990

Mkuu forest niliingia 1994 nadhan ww ndo ulikuwa unatoka.
Tulisoma na Shoka Charles Bangiri
 
Nili quote vibaya dogo. Jesacho
Nilitaka kujibu kwa muendelezo kwa alisema ni wa forest hill, naona umejiongeza
Kwa mujib wa maelezo yako unazaliwa sisi tayar tuko secondary
 
Nyakutununta ni wadhifa wa Kardinali yaani ni sawa na Mhadhama au His Emminance kmf Nyakutununta Kardinali Laurian Rugambwa
 

Ndugu, MWITA MARANYA.
mwanzilishi wa uzi huu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…