Top 10: Majina ya kipekee zaidi kutoka Tanzania

Askofu Maranyingi - Telephone and LAN Technician

Njolembwiga Njolembwesye: Mkazi wa Mbeya.
 
hahahahhahaah lol
G sina hamu
mbavu za uma sasa..

haki ya walakhi JF kuna mambo ..
mmhhhh
 

Aliye uliza kuhusu Mboni Masimba, mrembo huyu yuko mjini Dar na ni anajulikana kwa aka ya Kim Kardashian wa Bongo , ni ana miliki duka la mavazi na mmoja ya wana kuparty mujini.
 
dah mkuu Achilana nampata huyo bint white alikuwa msongo sana

Sasa huyo kwa kaka yake anaitwa Mkunga Mtingele kama unamsingizia na mama yao ni mwalim mkali wa chemistry alikuwa dodoma second sijui kishastaafu? Nitamuuliza Achilana kwa face book.
 
Hii kaka imetulia mengi ya haya ni majina yasio na chembe za utwana 🙂
 
Bw. MFAYUKULELA SINGILAKABHO NKHAZYA mazengo 1991 - 1994🙂
 
Duuh naona majina ya watoto wa obay enzi hizo. Hivi huyu jamaa kwenye green yuko wapi siku hizi?????
 
Rungundogo Kisanduku, Arusha Sec School, 1991-94
Mtoro Vumbi, Arusha Sec 1995
 
ng'onela lugata-sengerema sec school(mwanza) 1994-1997
manyenye maganiko-sengerema sec school 1994-1997
lihwa masulubu-sengerema sec school same years
gwakisa kajange-sengerema sec school same years
 
KONDOKAYA KIKWESA - MILAMBO mid 1980's
Punyeto kasulumbayi - Ihungo 1970's
 
Ahahahahaaaaaaaah hii thread tamu kwelikweli!!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…