Top 10: Majina ya kipekee zaidi kutoka Tanzania

Top 10: Majina ya kipekee zaidi kutoka Tanzania

majina ya Wazaramu,Sikujua,Sikudhani,Siwema,Tabu.Msafiri,Mema,Shindo,Furaha,Semeni,Kazi,Bahati(huwa wana2mia majna hayakupigana vjembe)

ongeza na Havijawa, Havinitishi, Mwanamkasi, Mashaka,Matatizo,Mkiwa na Mwanjaa,Riziki.
 
na huyu pia karibu miaka ishirini hatujaonana
Kamkazeni mtombomande
 
Kufa fataha kufa mfanyakazi wa mamlaka ya hifadhi hukooo.
 
kama kuna wageni inabidi wa 😛lane: vinginevyo:car:itawakawiza
Huyu jamaa Josephat Mkundukuwaka alikuwa anampa Headmaster wakati mgumu sana inapofikia kutamka jina lake hadharani. Lakini ilibidi Headmaster lazima alitamke manaake Josephat alikuwa mchoraji mzuri aliyekuwa anashinda kila term. Sijui aliishia wapi. Nimem-google lakini jina lake halitokei. Labda alibadilisha jina la ukoo manaake lilikuwa linatisha!
 
Huyu jamaa Josephat Mkundukuwaka alikuwa anampa Headmaster wakati mgumu sana inapofikia kutamka jina lake hadharani. Lakini ilibidi Headmaster lazima alitamke manaake Josephat alikuwa mchoraji mzuri aliyekuwa anashinda kila term. Sijui aliishia wapi. Nimem-google lakini jina lake halitokei. Labda alibadilisha jina la ukoo manaake lilikuwa linatisha!
Dah yaani hapo inabidi atungwe jina la utani litakalokuwa maarufu kuliko jina lake.
 
Duuh naona majina ya watoto wa obay enzi hizo. Hivi huyu jamaa kwenye green yuko wapi siku hizi?????


Huyo jamaa bwana nadhani anaishi Kimara,sija wasiliana naye zaidi ya miaka 7.Ila na hisi huyo ni wewe umeuliza tuu lol
 
Kwa kweli kama ningekuwa na jina la ajabu kama MKUNDUKUWAKA ukubwani ningefanya utaratibu wa kulibadilisha..................mkong'oto kwa wale wote watakaoendelea kuita hilo jina!!!!
 
Kwa kweli kama ningekuwa na jina la ajabu kama MKUNDUKUWAKA ukubwani ningefanya utaratibu wa kulibadilisha..................mkong'oto kwa wale wote watakaoendelea kuita hilo jina!!!!
Yaani basi tu. Nilikuwa najiulizaga itakuwaje familia iwe na jina kama hilo. Ndio maana hadi leo hii katika majina ninayoyakumbuka hilo ni moja wapo. Ni vigumu kulisahau!
 
Mwaipaja Mwaipumbuja Mwaitakotako! Yupo mbeya huyu pamoja na Atufyegwegwe Mwambungu!
 
La kwangu vp? mgetta Kaswamila,au hili la jamaa mmoja pale kiboroloni moshi anaitwa Ombeni Hasara.
 
Twijumilege Mwasandende a.k.a msela wa posta- usoke secondary, 1986-1987 form I to II!
 
Back
Top Bottom