kapyoko
JF-Expert Member
- May 10, 2022
- 1,365
- 2,134
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]Hana undugu na Dikembe Mutombo kweli?:smile-big:
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji119][emoji119]Hana undugu na Dikembe Mutombo kweli?:smile-big:
EBHANA EEng'onela lugata-sengerema sec school(mwanza) 1994-1997
manyenye maganiko-sengerema sec school 1994-1997
lihwa masulubu-sengerema sec school same years
gwakisa kajange-sengerema sec school same years
Abdul Nondo Nae Aingie Kwenye hii List HapoPia nikiwa katika masomo ya juu nimesoma na jamaa mmoja anayekwenda kwa jina la Mfwalamagoha, ni wa Iringa lakini nadhani alienda kufanya kazi mkoani Mbeya.
Ila Kiboko ya yote ni majina ya mkoani Tanga (majina ya vitu). Hebu angalia hapa chini.
Joel Bendera
Januari Makamba
Hemedi Sabuni
Ikram Siafu
Bakari Mshahara
Ibrahimu Msikiti (wao wanaita Msigiti)
Jumanne Mswaki
Sheshe Msumari ( wao wainaita Msumai)
Athumani Kibiriti (wanaita Kibiiti)
Duh!!!😂Josephat Mkundukuwaka - Dodoma Sec. 1968
Hatari Ndugu Yangu
Shida ni Kwamba Ukibadili Jina Familia inachukulia kama Unaleta Uzungu mwingi Unakataa Jina la Ukoo Hali ya Kuwa Wazee Wako Wamelitumia hilo hilo, Unaleta Picha MbayaHuyu jamaa Josephat Mkundukuwaka alikuwa anampa Headmaster wakati mgumu sana inapofikia kutamka jina lake hadharani. Lakini ilibidi Headmaster lazima alitamke manaake Josephat alikuwa mchoraji mzuri aliyekuwa anashinda kila term. Sijui aliishia wapi. Nimem-google lakini jina lake halitokei. Labda alibadilisha jina la ukoo manaake lilikuwa linatisha!
Mapunda ManyaniMwitu 😂😂😂<br />
<br />
Du!!! Hilo jina hata sijui naanzaje kuliita.....lol
Na kuna,
Panawasha nkikuna,
kyima kyambwele,
kitema mwasakafyuka,
ndimyake mwakalyelye,
kokushobokera mutalemwa mushumbuzi,
nsyagenie nsyankisu,
mwakifulefule mwakifwamba,
nkundu nshungama.
Mwakikokolwa mwasandembwe,
mapunda manyanimwitu,
...................naishia hapa vidole vinauma ....lol.
Zege Kumkokoto - JKT Mgambo intake ya 1982/83Andalalisye segereti mwaihabi. Head master Mwakaleli by then
Kaauchi Itokote - Beki wa Timu ya Taifa ya Japani WCGrace Mboro weruweru 1996
Fungukaa!!!Duh!!!😂
Jamaa nimepiga nae Jkt Anaitwa Dawson KaptulaKuna mwamba nilipiga nae jkt alikuwa anaitwa Katapwito Waziri Katapwito