Top 10: Majina ya kipekee zaidi kutoka Tanzania

Top 10: Majina ya kipekee zaidi kutoka Tanzania

TUMBO RISASI mtangazaji RTD
Mchungaji JOKA KUU wa EAGT arusha.
Aliyekuwa mbunge KUWAYAWAYA wa KUWAYAWAYA.
 
Kingunge Ngombaromwilu.Muwakilishi wa waganga wa jadi bunge la katiba 2014
Hahahahahahaaaaaaaaaaaaa we jamaa noma!!!


Sent from my BlackBerry 8520 using JamiiForums
 
mr kumalija alikua mkuu wa chuo cha afya mpwapwa kule dodoma
 
Kuna kiongozi wa ccm anaitwa Maston CHIZI! Halafu mnashangaa nchi kutoendelea huku "mnaongozwa" na machizi!
 
Ya wabongo mbona yana nafuu!! Ukisikia ya Wa-Japan si ndo utajamba cheche??!! Mpaka mwingine mkwe.re alimkataa kuja kushika ubalozi hapa kwetu!!

Kumamoto Kagawa
 
Nyanyama manyiri mhitimu meta secondari 2003
 
Tumbombeleghe ipambalaga waipopo mhitimu ikuti shule ya msingi 1997
 
Back
Top Bottom