Top 15: Majeshi bora na yenye nguvu barani Afrika

Vijana wakipelekwa jeshini amkawii kupiga picha na kuzisambaza hoo wanateswa sijui inafaida gani. Halafu bado tu mntaka kuamini vigezo la jeshi la nyerere ndio la sasa wakati budget yenyewe aifiki hata $300 ndege zetu za sasa zinaanguka zenyewe kwa uchakavu izo zilizobaki zitaweza kweli manoeuvres za makombora ya kukimbizana angani 'i dont think so'.

Umewekea estimate kwenye mafuta ya jeshi na matumizi ya siku ina maana hata Congo ya kabila tukiwachokoza leo na wao wakiwa na backup ya wazungu wakikata supply ya mafuta jeshi chali ndege azipai, magari ayasogei na wanajeshi awasogei wanatutungua tu wakiwa angani, matanki yao yakiingia yanakuja kumalizia kazi au unadhani kwanini wamarakeni wakiingia wanakimbilia kupiga au kuchukua ngome ya mafuta kwanza.

Jumlisha na huu utaratibu wa kuanza kujigawa kwa makundi ambao unachekewa sijui kubembelezana ina maana hata mshikamano nao ni tatizo national security ya Tanzania ni weak wanachojua wao ni kukesha tu kwenye computer za raia wa kawaida.
 
Tanzania tupo vizuri EA hakuna cha Kinya,Uganda wala DRC labda tutazidiwa na Ethiopia,Sudan,Misri South Africa tu lakini Kinya hana lolote.
 
nilishawahi kusema humu humu jamvini,leo ikitokea vita tutachapwa balaa,hakuna kitu hapa ni politik tu,ndo maana tunasema ni bora tuwe na watu wenye upeo wa kutuvusha hapa tulipo
 
Eti kenya wanajeshi imara mbona alshabab waliwachachafa kwa siku kazaa pale,
Hii habari ipo kisiasa siasatu!
 
yaani jeshio la DRC lina nguvu kuliko jeshi la DRC ambalo linachezeshwa bolingo na waasi nalo lipo. Sijui wanokuja na hivi vigezo huwa wanawaza nini. Brigade moja tu JWTZ imewathibiti waasi ambao wamelisumbua hilo jeshi kwa miaka kenda miaka rudi
 
weeh,jeshi letu chaliii......waache siasa....mfano shimbo yule ni mwanasiasa jeshini
 
Mi narudia kusema hebu mwenye taarifa za kukanusha hizi za mleta uzi atujuze.
Kwenye Global Fire Power tupo nafasi ya 24 !!
 
Hizo Nigeria na Kenya asingetaja kabisa. Ni aibu.
 
Hizo Nigeria na Kenya asingetaja kabisa. Ni aibu.
Kumbuka Hapa nguvu za jeshi zinapimwa kwa zana za kivita walizo nazo. Hebu Anglia t k mfano: Nigeria wana ndege za kivita 98; Kenya wanazo 127; Tanzania tunazo 34. Sasa hapo utasema mna nguvu gani za jeshi la anga? Ni porojo tu za kisiasa lakini Ufisadi umekwamisha kila kitu!
 

sasa mleta uzi izo ni nchi zinazoongoza kwa mizozo au jeshi imara? mbona kituko yani hadi kongo watupite sisi akati wanatuomba msaada hahahahaaaa hiyo list faki mpaka tz iwe ya tatu hapo
 

acha ufala ingekua zana ndio nguvu ya vita alshababu wangeshatoweka wanapigwa vita na kenya, amerika, ethiopia, uganda, burudi, france and uk lakini wameshindwa na izo nchi ndio zinaongoza kwa vifaa Acheni siasa kwenye jeshi iyo list yote ya kikuda.....labda mseme nchi zinazoongoza kwa vurugu
 
talibani hawamiliki hata ndege moja ya kivita lakini hawapigiki.......yaani mleta uzi ni mbufi hana akili hata ya kuchuja
 
unajua report nyingine unazisoma na kuzipuuza tu,mana kuna nchi zimo kwenye hiyo list ila zinasaidiwa na nchi ambayo haimo kwenye list ndo nashangaa

Kwani Tajiri akifiwa maskini yule anayekaa jirani haendi kusaidia hata kupika na kukaribisha wageni??

Tz maneno mengi tu hamna lolote.. Si jeshi wala Polisi.. Kwa Polisi hawa wanaopigwa ngumi na kunyang'anywa silaha kila siku ndio tuseme tuna jeshi imara??
 
wapi GESHI RA WANA INJI WA TANZANIA au HATA TANGANYIKA?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…