Camilo Cienfuegos
JF-Expert Member
- Apr 23, 2015
- 18,960
- 67,654
- Thread starter
- #41
Kuna Fundi alikua aliibebesha Spain kombe la Euro 2008.. Huyu jamaa anaitwa Marcos Sena, nadhani alikua pia captain.. achana na kina xavi wala iniesta, hii ndo ilikua injini yao katka dimba la katkati, hili dimba aliligeuza kama geto lako.
Mbaya zaidi leo hakuna hata mmoja anayemkumbuka.. maybe ni kwasababu ya rangi yake.. ila kwangu ni one of the best midfielder niliowahi kuwaona.
daah! Dunia imemsahau shujaa wa Spain Euro 2008.
Me namkumbuka klabuni Villareal, Kikosi chao kilikuwa na watu, Juan Pablo Sorin, Roman Riquelme, Diego Forlan, Juan Capdevilla na wengineoo...