Top 6 yangu ya marais duniani. Kuanzia mwaka 2015

Top 6 yangu ya marais duniani. Kuanzia mwaka 2015

Kama kichwa cha habari kinavyosema wakuu.

1 John Joseph Pombe Magufuli a.k.a JIWE R.I.P jiwe waliokuchukia wapo hoi bin wa taabani.

2 Kim Jong UN πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯

3 Vladimir Putin πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯

4 Ibrahim traoreπŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯

5 Donald trump πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯

6 Robert Mugabe R.I.P giant

NB. Zingatia namba tano
muamali gadafi
 
Kama kichwa cha habari kinavyosema wakuu.

1 John Joseph Pombe Magufuli a.k.a JIWE R.I.P jiwe waliokuchukia wapo hoi bin wa taabani.

2 Kim Jong UN πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯

3 Vladimir Putin πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯

4 Ibrahim traoreπŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯

5 Donald trump πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯

6 Robert Mugabe R.I.P giant

NB. Zingatia namba tano
Ben Mkapa na Kaguta Mseven?
 
Kama kichwa cha habari kinavyosema wakuu.

1 John Joseph Pombe Magufuli a.k.a JIWE R.I.P jiwe waliokuchukia wapo hoi bin wa taabani.

2 Kim Jong UN πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯

3 Vladimir Putin πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯

4 Ibrahim traoreπŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯

5 Donald trump πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯

6 Robert Mugabe R.I.P giant

NB. Zingatia namba tano
Where we dare to talk openly.

Nimezimis sana zile zama za magreat thinker hapa JF.

Yaani vijana wa sasa ma-role model wao ni Mobutu seseko na Idd Amin
 
Magu huyu huyu tapeli na muongo mkubwa aliyetaka kumuua lisu au mwngne huyu huyu ndo unasema kuna watu wako hoi kina nani labda huko ccm maana chadema kaiacha, lisu yupo anadunda tu au tutajie hao unaosema wako hoi
 
Magu huyu huyu tapeli na muongo mkubwa aliyetaka kumuua lisu au mwngne huyu huyu ndo unasema kuna watu wako hoi kina nani labda huko ccm maana chadema kaiacha, lisu yupo anadunda tu au tutajie hao unaosema wako hoi
Ukiwepo wewe
 
Hana udikteta America sio shithole countries..!!
We una akili timamu kweli ww trump kuna mambo hawez gusa kbs mfano ka tiba na mfumo mzma wa taifa la marekani hawez gusa unadhan marekan ni afrika eti jangili kama magu anaamua tu kujinunulia madege anaamua tu kutofata katiba eti eeeh
 
We una akili timamu kweli ww trump kuna mambo hawez gusa kbs mfano ka tiba na mfumo mzma wa taifa la marekani hawez gusa unadhan marekan ni afrika eti jangili kama magu anaamua tu kujinunulia madege anaamua tu kutofata katiba eti eeeh
Umeielewa point yangu au umekurupuka? Nimesema huyo Trump hana jeuri ya kuwa dikteta America sio km hizi shithole countries zetu..!!
 
Kama kichwa cha habari kinavyosema wakuu.

1 John Joseph Pombe Magufuli a.k.a JIWE R.I.P jiwe waliokuchukia wapo hoi bin wa taabani.

2 Kim Jong UN πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯

3 Vladimir Putin πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯

4 Ibrahim traoreπŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯

5 Donald trump πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯πŸ”₯

6 Robert Mugabe R.I.P giant

NB. Zingatia namba tano
Adolf Hitler
 
Back
Top Bottom