Izzo mbona anafanya Hip hop kitambo sana!Hivi Izzo Business anafanya Hip Hop?
Duuh humjui mbwa wa watengwaWa wap huyu sjawah mskia
Vipi Fadha Nelly?
Hashim Dogo?
Vipi HBC ya akina Nigga J?Duuh humjui mbwa wa watengwa
Tafuta ngoma hizi kachanika sana
Mbwa mzee
Tabia mbaya
Nawaza
Nk
Best grp la hiphop halijawai tokea kama hilo WATENGWA
CHINDO akisimama JCB
Na Lil Wayne pia aimbi hip hop?!Darasa na Ali Kiba hawana tofauti ya uimbaji. Darasa haimbi hiphop.
Duuh humjui mbwa wa watengwa
Tafuta ngoma hizi kachanika sana
Mbwa mzee
Tabia mbaya
Nawaza
Nk
Best grp la hiphop halijawai tokea kama hilo WATENGWA
CHINDO akisimama JCB
Na Lil Wayne pia aimbi hip hop?!
Vipi Kuhusu Drake,Designer Na Young Thung wana tofauti yoyote Na Darassa?!
Hii ndo top five ya wasanii wakali wa hip hop na sehemu wanazotoka
1. Fid q from Mwanza
2. Mwana fa from Tanga
3. Pro j from Songea
4. Darasa from Mwanza
5. Young killer from Mwanza
Hii imayofuta ni orodha ya wana hip hop waliozoea kubebwa
1. John makin from Arusha
2. Stamina from Morogoro
3. Niki wa pili from Arusha
4. Izzo biznes from Mbeya
5. Roma mkatolik from Tanga
Arusha Watengwa,Chindo hakuwa anafanya komesho sishangai kutomjua,sisi tunaofanya viringe we know he is the best,pale Ar kina Joh Makini ni ma bwana mdogo tu
he is the best anaingiza sh ngapi??
acheni hizo
Sio kweli mkuu