Top five ya wasanii wakali wa Hip Hop Tanzania

Top five ya wasanii wakali wa Hip Hop Tanzania

Wa wap huyu sjawah mskia
Duuh humjui mbwa wa watengwa
Tafuta ngoma hizi kachanika sana
Mbwa mzee
Tabia mbaya
Nawaza
Nk
Best grp la hiphop halijawai tokea kama hilo WATENGWA

CHINDO akisimama JCB
 
Duuh humjui mbwa wa watengwa
Tafuta ngoma hizi kachanika sana
Mbwa mzee
Tabia mbaya
Nawaza
Nk
Best grp la hiphop halijawai tokea kama hilo WATENGWA

CHINDO akisimama JCB
Vipi HBC ya akina Nigga J?
 
Duuh humjui mbwa wa watengwa
Tafuta ngoma hizi kachanika sana
Mbwa mzee
Tabia mbaya
Nawaza
Nk
Best grp la hiphop halijawai tokea kama hilo WATENGWA

CHINDO akisimama JCB

Watengwa ni kama chuo cha hiphop,tatizo siku hizi wamezidisha kuvuta mmea.
 
1.Fid Q
2.Joh Makini
3.Mwana FA
4.Jay Moe
5.Profesa Jay

Bonus
Mr.blue
Songa.
 
Hii ndo top five ya wasanii wakali wa hip hop na sehemu wanazotoka
1. Fid q from Mwanza
2. Mwana fa from Tanga
3. Pro j from Songea
4. Darasa from Mwanza
5. Young killer from Mwanza

Hii imayofuta ni orodha ya wana hip hop waliozoea kubebwa
1. John makin from Arusha
2. Stamina from Morogoro
3. Niki wa pili from Arusha
4. Izzo biznes from Mbeya
5. Roma mkatolik from Tanga

hata washabiki wanawanunua?

nani kati ya hao wenye hela?

acheni wivu na kudanganyana

halafu ukiwaita wanabebwa lakini ndo wanaotengeneza hela....unajisikiaje?

fid q...my foot
 
Arusha Watengwa,Chindo hakuwa anafanya komesho sishangai kutomjua,sisi tunaofanya viringe we know he is the best,pale Ar kina Joh Makini ni ma bwana mdogo tu

he is the best anaingiza sh ngapi??

acheni hizo
 
Back
Top Bottom