Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hatuzungumzii mitundo huru.top 5 ya nchi ina vigezo zaidi ya freestyle
Kwa ambao hawamjui Chindi,sikilizeni verse ya kwanza.
Mtathimini kwenye hii videoNamba 1 sijakusoma lakini huko kulikobaki uko vizuri!
Aisee,kila mtu na radha yake,yaani Blue naye ni best,Gadziller haaa haaa,hawa hata top 100 ziwezi kuwaweka1.Babylon Bayser
2.One Increadible
3.Godziller
4.Mabeste
5.Chidbenz
Hawa ndio nawaelewa haswaaaaaaa
Arusha Watengwa,Chindo hakuwa anafanya komesho sishangai kutomjua,sisi tunaofanya viringe we know he is the best,pale Ar kina Joh Makini ni ma bwana mdogo tuWa wap huyu sjawah mskia
Aisee,kila mtu na radha yake,yaani Blue naye ni best,Gadziller haaa haaa,hawa hata top 100 ziwezi kuwaweka
Namba 1 sijakusoma lakini huko kulikobaki uko vizuri!
Yea ako vzur lakin nime mchekiArusha Watengwa,Chindo hakuwa anafanya komesho sishangai kutomjua,sisi tunaofanya viringe we know he is the best,pale Ar kina Joh Makini ni ma bwana mdogo tu
Arusha Watengwa,Chindo hakuwa anafanya komesho sishangai kutomjua,sisi tunaofanya viringe we know he is the best,pale Ar kina Joh Makini ni ma bwana mdogo tu
Namba 1 sijakusoma lakini huko kulikobaki uko vizuri!
Hivi Izzo Business anafanya Hip Hop?Hii ndo top five ya wasanii wakali wa hip hop na sehemu wanazotoka
1. Fid q from Mwanza
2. Mwana fa from Tanga
3. Pro j from Songea
4. Darasa from Mwanza
5. Young killer from Mwanza
Hii imayofuta ni orodha ya wana hip hop waliozoea kubebwa
1. John makin from Arusha
2. Stamina from Morogoro
3. Niki wa pili from Arusha
4. Izzo biznes from Mbeya
5. Roma mkatolik from Tanga
Vipi Fadha Nelly?List yangu ya best Mcee's
1. Chindo Man a.k.a Umbwa
2. Fid Q
3.Prof J
4. Jay Moo
5.Ngwair.
Unamfahamu Chindo ManNamba 1 sijakusoma lakini huko kulikobaki uko vizuri!
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] tuache Matusi, Darassa siyo Mbadala wa Man NgwairChalii yangu jay moo ndo nani arifu darasa ndo kachukua nafasi ya ngwea
Vipi nafasinya Zaidii tukimuweka P the MC?1. Fid q
2. Nikki Mbishi
3. One incredible
4.zaid
5.Songa the Mc
YeahVipi nafasinya Zaidii tukimuweka P the MC?
Kuna kipindi walikuwa wana_freestyle pale Soweto kwenye viwanja vya Basketball na Kijenge Juu jirani na Studio ya WatengwaArusha Watengwa,Chindo hakuwa anafanya komesho sishangai kutomjua,sisi tunaofanya viringe we know he is the best,pale Ar kina Joh Makini ni ma bwana mdogo tu
Nimekupata sana Mkuu, shida hawa wasio sikika kwenye masafa ya FM mara kwa mara vijana wengi ukiwaweka kwenye list wanakuona kama wakuja hivi.Yeah
Good hapo utakuwa umeipiga list kali
Nilimueka fid nikitaka at leas main streamers wapate mwakilishi