Rufiji dam
JF-Expert Member
- Feb 20, 2020
- 4,107
- 9,671
Tumeni salamu makamanda ezekiel malongo anazikandamiza zote wapi dijalo warunguManyota top manyota..chabela camp majengo sokoni
Hao ni malegend wa Redio Free Africa (RFA) Mwanza huko kwingine wamesambaza upendo, walianzia Redio Free Africa RFA miaka hio kitambo sana, wote akina Lawena Nsonda.Wakali wa salamu, walikuwa ni hatari sana kupiga simu namba 2700588 ya radio one na kusambaza upendo.
alikua ananza na kiyaiyai mayai ya kuchomaNamkumbuka
Kuna mwamba alikuwa bingwa wa kuingiza vocha bila kukwanguaalikua ananza na kiyaiyai mayai ya kuchoma
Lawena nsonda [emoji23][emoji23][emoji23]Baba mzazi baba
Afu kuna jamaa alikuaga mizinguo alikuwa akipga simu anamzingua mtangazi Juma Ahmed Balagaza uyo mwamba alikuwa akiulizwa unaitwa nani anajibu Naitwa ugali Sokwe [emoji23][emoji23][emoji23]Hao ni malegend wa Redio Free Africa (RFA) Mwanza huko kwingine wamesambaza upendo, walianzia Redio Free Africa RFA miaka hio kitambo sana, wote akina Lawena Nsonda.
🤣🤣🤣Lawena nsonda [emoji23][emoji23][emoji23]