Top Manyota Top Manyota, Chesko mzee wa Matunda, Manka Mushi, Baba Askofu

Top Manyota Top Manyota, Chesko mzee wa Matunda, Manka Mushi, Baba Askofu

1. John Zenze
2.Imma Kulaya Mwananyamala Sela Sela Nukta Nukta.
3.Bongo Experience
4.Baba Dullah One Majani Mapana Tanga(M.A.P)
5.Manase R. Muhaha (Ngambako) - Mnazi Mmoja.
6.Magufuli Jikono Jandama - Malimi Morogoro
7.Salim Chumu. (Pata Picha Salim Chumu kila namba anayopiga nahisi kizunguzungu kama si ya dada yangu basi ya demu wangu,najifanya faler kisa nafanya biashara).
 
kuna muda hua nasikiliza radio nacheka sana hasa ile asubuhi kuna moja wa tanga anajita fogo yeye hana mchango wowote utasikia "elimu izidi kutolewa "kila siku huo ndio mchango wake

Kuna Mmoja naye anatoka Tanga aisee anaongea kimapozi halafu puani kama teja kuna siku alipiga simu RFA kipindi cha Hakuna Kulala sasa Mtangazaji nadhani alikuwa hajui kama jamaa ndivyo anavyoongea akakata simu akijua jamaa anamzingua kumbe ndivyo anavyoongea.
 
Kuna Mmoja naye anatoka Tanga aisee anaongea kimapozi halafu puani kama teja kuna siku alipiga simu RFA kipindi cha Hakuna Kulala sasa Mtangazaji nadhani alikuwa hajui kama jamaa ndivyo anavyoongea akakata simu akijua jamaa anamzingua kumbe ndivyo anavyoongea.
yule ni teja kabisa namfahamu,hicho kipindi cha hakuna kulala yule mtangazaji anawafokea sana wanaopiga simu kama watoto aisee 😂
 
yule ni teja kabisa namfahamu,hicho kipindi cha hakuna kulala yule mtangazaji anawafokea sana wanaopiga simu kama watoto aisee 😂

Hahahahaa huyo Mtangazaji anaitwa Faustine Stephano dakika mbili mbele ,ukijichanganya kupiga simu kwenye muda wa kina Mama atakupa lugha za maudhi hadi mwenyewe utakata simu ila anaonekana mtu poa ukienda naye sawa.

Kumbe jamaa ni Teja? Duuuh ndiyo maana anaongea vile aisee.
 
Hahahahaa huyo Mtangazaji anaitwa Faustine Stephano dakika mbili mbele ,ukijichanganya kupiga simu kwenye muda wa kina Mama atakupa lugha za maudhi hadi mwenyewe utakata simu ila anaonekana mtu poa ukienda naye sawa.

Kumbe jamaa ni Teja? Duuuh ndiyo maana anaongea vile aisee.
haahaah kunasiku nilimsikia anamwambia jamaa wewe ni mama nani...dah nilicheka sana

yule mwamba anaonekana ni teja ukitaka kulijua hilo we msikilize akipewa wasaha wa kujieleza ujue mateja huwa wanaibua hoja fulani za ajabu na wanajua kuzitetea sana tene kwa point nzito sana
 
Hao ni malegend wa Redio Free Africa (RFA) Mwanza huko kwingine wamesambaza upendo, walianzia Redio Free Africa RFA miaka hio kitambo sana, wote akina Lawena Nsonda.
Wakati ule RFA ulikuwa imechangamka sana!
Unakutana na -
..Unaongea na sauti ya sterio, International Beka wa Bengali, IBB, nikiwa Nyakato ya Buzuruga, nimetulizana!
--Fambo wa Fambo mwana wa Dorida..
-- Engineer Bob Hassan Marejeta
--Baba Nyanzala
--Shangazi wa RFA Suzzy Ngodoki
--John Ipembe
--Nchakasi Mushi
--Willy Matemu
---Abdalah Tilata
--Bila kujisahau 'mimi' kwa jina langu halisi nk
 
Back
Top Bottom