Dr hyperkid
JF-Expert Member
- Jun 7, 2019
- 12,679
- 25,646
huyo mzee wa majukumu ni chenga sana naona sikuizi wanamkatia simu 😂 😂Mapambano Abel na Mzee wa Majukumu.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
huyo mzee wa majukumu ni chenga sana naona sikuizi wanamkatia simu 😂 😂Mapambano Abel na Mzee wa Majukumu.
aisee anapiga simu sanaMapambano ABEL hahaaha anafanya kaz pale tabata dampo makazi pugu
huyo mzee wa majukumu ni chenga sana naona sikuizi wanamkatia simu 😂 😂
kuna muda hua nasikiliza radio nacheka sana hasa ile asubuhi kuna moja wa tanga anajita fogo yeye hana mchango wowote utasikia "elimu izidi kutolewa "kila siku huo ndio mchango wakeMzinguaji Sana yaani anaongea kama mtoto anayeanza kujifunza kuongea.
kuna muda hua nasikiliza radio nacheka sana hasa ile asubuhi kuna moja wa tanga anajita fogo yeye hana mchango wowote utasikia "elimu izidi kutolewa "kila siku huo ndio mchango wake
yule ni teja kabisa namfahamu,hicho kipindi cha hakuna kulala yule mtangazaji anawafokea sana wanaopiga simu kama watoto aisee 😂Kuna Mmoja naye anatoka Tanga aisee anaongea kimapozi halafu puani kama teja kuna siku alipiga simu RFA kipindi cha Hakuna Kulala sasa Mtangazaji nadhani alikuwa hajui kama jamaa ndivyo anavyoongea akakata simu akijua jamaa anamzingua kumbe ndivyo anavyoongea.
yule ni teja kabisa namfahamu,hicho kipindi cha hakuna kulala yule mtangazaji anawafokea sana wanaopiga simu kama watoto aisee 😂
haahaah kunasiku nilimsikia anamwambia jamaa wewe ni mama nani...dah nilicheka sanaHahahahaa huyo Mtangazaji anaitwa Faustine Stephano dakika mbili mbele ,ukijichanganya kupiga simu kwenye muda wa kina Mama atakupa lugha za maudhi hadi mwenyewe utakata simu ila anaonekana mtu poa ukienda naye sawa.
Kumbe jamaa ni Teja? Duuuh ndiyo maana anaongea vile aisee.
NaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaamMUHIRI OBHARE
Sijui tumeanzeje kumsahau huyuOstaadh sabasaba Abdallah mamba wa Ziwa Rukwa
Ulikuwa umemsahau mkuuSijui tumeanzeje kumsahau huyu
GakaraFikili Dario Garaka wa GGM geita
Wakati ule RFA ulikuwa imechangamka sana!Hao ni malegend wa Redio Free Africa (RFA) Mwanza huko kwingine wamesambaza upendo, walianzia Redio Free Africa RFA miaka hio kitambo sana, wote akina Lawena Nsonda.
Kuambiana S. Kuambiana 🤣Child child chitenda
Mr UD toka temeke ligangaaaaa streeet