Top Secret: Nyaraka Namba 12333 kutoka Whitehouse

Top Secret: Nyaraka Namba 12333 kutoka Whitehouse

Status
Not open for further replies.
Tuheshimiane, acha mambo ya kipumbavu na kuongelea vitu usivyovifahamu na usilete mazoea ya kijinga mpuuzi wewe..

Hujui hata unachoongea!! Unamuongelea James Angleton?? Mpuuzi kabisa wewe, James Angleton hajawahi kuandika chochote kuhusu Mapinduzi ya Iran na najua hujawahi hata kumsikia na nisingemtaja hapo usingekuja kumsikia..

Unajua kwanini nimeweka quote yake hapo?? Nimeandika hiyo quote kwa kuwa nimeipenda na inashabihiana na nilichotaka kuandika.. Unakuja na kimbele mbele chako unaanza kuongea sijui nimebeba vitu vya Angleton?? Mpuuzi kabisa, wapi umesikia Angleton amewahi kuandika kuhusu Mapinduzi ya Iran.. Angleton mpaka anafariki mwaka 1989 hajawahi kuandika hata kitabu kimoja maisha yake yote na wala hakuwahi kutoa siri yoyote kuhusu CIA..

Nimeweka pale chini source ya makala yangu ni Nyaraka zilizo kabidhiwa George Washington University, wewe unakuja na upuuzi wako unaongea vitu usivyovijua!!

Unaongea kuhusu hati miliki! Hivi unajua hata hati miliki inazingatia nini??? Kisa ni True story ndio isiwe na hati miliki??
Kwahiyo unataka kusema kuwa mtu anaweza kwenda kudurufu kitabu cha mzee Msekwa alichoongelea maisha ya Nyerere na kwenda kuuza kisa tu msekwa kaandika true story ya Nyerere hivyo hana hati miliki??? Mpuuzi kabisa..

Wewe mtoto wa kiume acha wivu wa kipumbavu..

Tuheshimiane.!!
Hapa umeuvaa uhusika wangu hasa, nilimbakiza huyu zuzu ili watu wasione mimi ni mpenda shari lakini kiukweli kuna mijitu humu inakera sana na ili wasikukuzowee ni lazima utumie kauli kali.
 
Tuheshimiane, acha mambo ya kipumbavu na kuongelea vitu usivyovifahamu na usilete mazoea ya kijinga mpuuzi wewe..

Mpuuzi kabisa..

Wewe mtoto wa kiume acha wivu wa kipumbavu..


Right, right, nimekupata pointi yako hapo pa nina wivu wa kike, pumbavu zangu, mpuuzi, nina mazoea ya kijinga, I get that, unarudia rudia sana matusi yale yale, let's move forward and get to the issues.

Umeweka source moja kuwakilisha simulizi nzima halafu ukadai haki miliki ya tunzi.

Swali: Je, simulizi lote hili umelimeza kutoka public archives za Washington University ukalitema hapa kama lilivyo au kuna ya kwako ya kichwani yanayokupa haki miliki?
 
Halafu dada Nifah unazipendaga sana story za kijasusi au ndio jasusi la chama chetu kile[emoji12] [emoji23] [emoji23] [emoji23]


Ndukiiiii[emoji125] [emoji125] [emoji125]
Sana,tena nazipenda sana.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hapana mkuu,tena natamani sana ningekuwa jasusi.

Kwa jinsi nipendavyo story hizi ndio maana shemeji yako alinipatia huku kwa story zake [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Mahari atatoa story za kijasusi tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Right, right, nimekupata pointi yako hapo pa nina wivu kike, pumbavu, mpuuzi, mazoea ya kijinga, I get that, unarudia rudia sana matusi yale yale, let's move forward and get to the issues.

Umeweka source moja kuwakilisha simulizi nzima halafu ukadai haki miliki ya tunzi.

Swali: Tunataka kujua, je, simulizi lote hili umelimeza kutoka kwenye public archives za Washington University ukalitema hapa lilivyo au kuna ya kwako ya kichwani yanayokupa haki miliki?
Jaribu kuandika wewe baada yakutumia hizo "archive".Hata mumeo hatakupa "like"
 
Katika kipindi cha takribani mwezi hakuna post iliyonigusa kama hii ,kwakweli nimejifunza mengi na nilitamani isiishe nilikuwa kama nasoma novel Kali ya kijasusi ,hakika nimegundua kitu kwamba Wazungu si wenzetu na always ogopa misaada yao they always had nothing to lose wakikupa Msaada jua you will be paying a thousands times whether umegundua au hujagundua mtego wao na to make it clear US na UK ndio source of security instability ya dunia hii sehemu zote zenye vita vya wenyewe kwa wenyewe lzm kuna Mali na ukimkosa Mmarekani utakuta Mwingereza ana maslahi pale ,kwakweli nimeanza kuogopa hata hii misaada yao wanayoitoa kwetu maana huwa najiuliza kwann wanatumia pesa nyingi kutughalamia sisi na what are they gaining in return? Ubarikiwe!
 
Sana,tena nazipenda sana.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] hapana mkuu,tena natamani sana ningekuwa jasusi.

Kwa jinsi nipendavyo story hizi ndio maana shemeji yako alinipatia huku kwa story zake [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Mahari atatoa story za kijasusi tu
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]

Acha kuniperemba najua natakiwa niandae ng'ombe 70!! Acha utani kabisa na white Masai [emoji23] [emoji23]
 
Katika kipindi cha takribani mwezi hakuna post iliyonigusa kama hii ,kwakweli nimejifunza mengi na nilitamani isiishe nilikuwa kama nasoma novel Kali ya kijasusi ,hakika nimegundua kitu kwamba Wazungu si wenzetu na always ogopa misaada yao they always had nothing to lose wakikupa Msaada jua you will be paying a thousands times whether umegundua au hujagundua mtego wao na to make it clear US na UK ndio source of security instability ya dunia hii sehemu zote zenye vita vya wenyewe kwa wenyewe lzm kuna Mali na ukimkosa Mmarekani utakuta Mwingereza ana maslahi pale ,kwakweli nimeanza kuogopa hata hii misaada yao wanayoitoa kwetu maana huwa najiuliza kwann wanatumia pesa nyingi kutughalamia sisi na what are they gaining in return? Ubarikiwe!

Kabisa Mkuu! Umenena vyema sana..
 
Nashukur sana kaka naipenda sana iran kwajinc ilivo kakamavu sasa naomba kujua kutoka kwako kwasababu iran saiv ni nchi muhim sana mashariki yakat kutokana na teknolojia yake namaendeleo iliyokua nayo napia ndo nchi inayoogopwa kabisa na marekan mashariki ya kati.hebu tupe utam kuanzia hapo alipopinduliwa huyo wazir mkuu nini kiliendelea mapaka iran ikawa ni nchi yenye nguvu namna hii?@ the bold
Iran ni kuu kihvyo kweli au kuna wababe nyuma yake kama Syria kweli? Tuwe wawazi wajameni tusijetukayarudia ya mwaka 2000s Sadam likabaki ni historia tu, mi ukiniambia ujerumani ni taifa kubwa tena tishio hapo naweza kukiri, Iran si ni kama Korea kaskazini au?
 
Dah mkuu kama kawaida yako huwa hukosei, makala tamu nahisi kama natizama move hapa. Asante sana @ The bold
 
Hahahahaha!! Mugabe mtata sana, ila anawaelewa sana tabia za wamagharibi..
Ukija kuongelea swala LA huyu Simba wa Africa usiache kuongelea ule mkataba alioingia Na wakoloni wake kwamba watawalipa fidia wazungu wachache ili waachie ardhi wanayomiliki Kwa asilimia kubwa Na wapewe wazawa kitu ambacho wazungu hawakutekeleza matokeo Yake wakawa wanataka a step down dio walipe.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom