Top Secret: Nyaraka Namba 12333 kutoka Whitehouse

Top Secret: Nyaraka Namba 12333 kutoka Whitehouse

Status
Not open for further replies.
[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
Kwanini iwe mimi ndio nimemuopoa?
Tumeopoana mkuu...
Asante sana [emoji120]
#TheBold's#
Nikikumbuka jinsi nilivyotumia "mbinu za D.B Cooper, na theory za Spaggiari pamoja na ujasiri wa Pablo"
Nimeulia timing huo moyo mda mrefu sana mpaka kufanikiwa kuuiba na kwenda kuufukia bahari ya Pacific hahahahahah

#TheBold's
 
Nikikumbuka jinsi nilivyotumia "mbinu za D.B Cooper, na theory za Spaggiari pamoja na ujasiri wa Pablo"
Nimeulia timing huo moyo mda mrefu sana mpaka kufanikiwa kuuiba na kwenda kuufukia bahari ya Pacific hahahahahah

#TheBold's
[emoji23] [emoji23] [emoji23] nami usinikumbushe nilivyokuwa nazungukazunguka,fichaficha sana [emoji85] [emoji85] [emoji85]
Hawajui tu,what we went thru hadi leo tuko madly in love namna hii.

We #TheBold's [emoji132]
 
"Wazee wa fitna ya daraja la kwanza"
[emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji102]
Nimezielewa sana fitna zao, nimejifunza mengi yanayojiri ulimwenguni kwa sasa, kuanzia waasi wa serikali na pia ugaidi kwa mbaali.
Pia ningependa siku uelezee kuhusu ugaidi, napata wakati mgumu kujua maana ya gaidi na ugaidi,
Je ugaid ni dini?
Je ni mauji?
Je ni utaifa?
The bold
 
"Wazee wa fitna ya daraja la kwanza"
[emoji102] [emoji102] [emoji102] [emoji102]
Nimezielewa sana fitna zao, nimejifunza mengi yanayojiri ulimwenguni kwa sasa, kuanzia waasi wa serikali na pia ugaidi kwa mbaali.
Pia ningependa siku uelezee kuhusu ugaidi, napata wakati mgumu kujua maana ya gaidi na ugaidi,
Je ugaid ni dini?
Je ni mauji?
Je ni utaifa?
The bold
Sawa Mkuu.! Naona hilo swali kuhusu ugaidi limeulizwa sana.. Nitaweka uzi kuhusu hilo hivi karibuni
 
Mkuu The bold kile kitabu nakikumbuka kwa kiswahili lkn kwa kiingereza kimenitoka kidogo ila kwa kiswahili kulikua na maana hii kua kuingia na kutoka Iraq ni Sawa na kuingia jehanamu


Hebu kigoogle uone km utaweza kukipata
 
Mkuu The bold kile kitabu nakikumbuka kwa kiswahili lkn kwa kiingereza kimenitoka kidogo ila kwa kiswahili kulikua na maana hii kua kuingia na kutoka Iraq ni Sawa na kuingia jehanamu


Hebu kigoogle uone km utaweza kukipata
Shukrani sana Mkuu! Kwa hizo hints nina hakika nitakipata..
 
Mkuu,

Labda niulize kwa kifupi tu, kwako ni sawasawa mtu mwingine akichukua hili simulizi hapa kama lilivyowekwa na mkuu The bold halafu akalichapisha kwenye gazeti au chombo kingine cha habari!

Kaka ...


Kama lilivyowekwa hapa na Mkuu The Bold au kama lilivyowekwa kwenye Public Archives na wakuu wa Washington University?

Ni wazi muandishi wetu huyu bado ni mchanga kwenye nyanja ya tamthiliya, lazima atambue kwamba tasnia ina misingi na maadili yake. Kwenye simulizi zisizo na ISBN wala haki-miliki, simulizi za kienyeji, huwezi kudai wenzio wasidurufu. We ya kwako?

Bwana undisputed 'heavyweight' champ...we kazi yako huwa ni kukosoa tu wenzio?

Manake karibu kila sehemu wewe ni kupondaponda tu....unaona ni sifa eh?

Mimi napondaponda? Haya unayasema wewe, of all the poeple?

I mean, uwezo wako wa kupondaponda watu, utu, Utanzania na Tanzania ya vumbi na nguo feki feki hauna mfano. Umejenga personality cult synonymous with the most grotesque of condescension and abuse, kushusha watu na kukejeli. You should be the last person to accuse anybody of kupondaponda.

Criticism is a pillar of artwork, huwezi kuikwepa, mwandishi huyu anajaribu kujijenga kwenye sanaa ya tamthiliya, ajiandae kuchambuliwa. Sio akihojiwa ana lose his marbles na kufurumusha matusi.

Kwenye sanaa kuna mtu anaitwa art critic, unaweza kuchora kikaragosi, mfano wa mtu, art critic atakwambia no, umekosea, pua pandisha juu! Nimekosea nini wakati mimi ndio nimebuni kikatuni na sijasema ni picha halisi ya Magufuli? Art criticism haikwepeki. Na inajumuisha, in fact inaanza na, authenticity ya artwork yako, unadai haki-miliki, well, wewe mwenyewe ulijimilikishaje, umeibuni au umemeza ukatapika?

Na kwa wewe wa Kankekee, Illinois, hivi vitu ni vya kawaida sana huko, you should be the last one to demur at criticism.
 
Mimi napondaponda? Haya unayasema wewe, of all the poeple?

I mean, uwezo wako wa kupondaponda watu, utu, Utanzania na Tanzania ya vumbi na nguo feki feki hauna mfano. Umejenga personality cult synonymous with the most grotesque of condescension and abuse, kushusha watu na kukejeli. You should be the last person to accuse anybody of kupondaponda.

Criticism is a pillar of artwork, huwezi kuikwepa, mwandishi huyu anajaribu kujijenga kwenye sanaa ya tamthiliya, ajiandae kuchambuliwa. Sio akihojiwa ana lose his marbles na kufurumusha matusi.

Kwenye sanaa kuna mtu anaitwa art critic, unaweza kuchora kikaragosi, mfano wa mtu, art critic atakwambia no, umekosea, pua pandisha juu! Nimekosea nini wakati mimi ndio nimebuni kikatuni na sijasema ni picha halisi ya Magufuli? Art criticism haikwepeki. Na inajumuisha, in fact inaanza na, authenticity ya artwork yako, unadai haki-miliki, well, wewe mwenyewe ulijimilikishaje, umeibuni au umemeza ukatapika?

Na kwa wewe wa Kankekee, Illinois, hivi vitu ni vya kawaida sana huko, you should be the last one to demur at criticism.

Naam, wewe hata siku moja sijawahi kukuona ukiwa positive.

Karibu mabandiko yako yote humu huwa ni ya kukosoa. Na hata kukosoa kwa kujenga hujui.

Mara zote huwa uko hasi tu. Ni kama vile huwa unatafuta dosari tu kwa wenzako as if wewe huna dosari zozote zile.

Nadhani huwa unaona hata reactions za watu dhidi yako zikoje mara zote uwatoapo dosari zao. Tabia yako ni mbaya. Mbovu kabisa yaani.

Critic gani wewe huna hata lugha ya kiungwana? Huna kauli nzuri. Lakini mwenyewe hapo ulipo si ajabu huoni hata tatizo lako liko wapi maskini ya mungu. Unajiona uko sawa tu, uko sahihi mara zote.

Sasa kwa taarifa yako, wakati mwingine si kile ukisemacho ndicho cha muhimu sana bali ni namna kile ukisemacho unavyokisema ndo cha muhimu zaidi.

Jiangalie sana, tena jiangalie kwa kina. Kama unajiona wewe ni critic basi jirekebishe. Jifunze namna ya kufikisha ujumbe wako bila kukwaruza hisia za watu.

Natumai ujumbe wa wadau walio wengi humu umeupata!
 
Kumbe!

But si nyakati zote wanaweza kuna nyakati wengine tukiweka kituo hakuna wakukatiza....
 
Leo katika pita pita yangu kuangalia "movies" upya, nimejikuta naangalia hii inayoitwa "Argo" imetoka mwaka 2012. Inaakisi simulizi hili. Pata nafasi uiangalie pia

Kaka ...
 
Kama lilivyowekwa hapa na Mkuu The Bold au kama lilivyowekwa kwenye Public Archives na wakuu wa Washington University?

Ni wazi muandishi wetu huyu bado ni mchanga kwenye nyanja ya tamthiliya, lazima atambue kwamba tasnia ina misingi na maadili yake. Kwenye simulizi zisizo na ISBN wala haki-miliki, simulizi za kienyeji, huwezi kudai wenzio wasidurufu. We ya kwako?



Mimi napondaponda? Haya unayasema wewe, of all the poeple?

I mean, uwezo wako wa kupondaponda watu, utu, Utanzania na Tanzania ya vumbi na nguo feki feki hauna mfano. Umejenga personality cult synonymous with the most grotesque of condescension and abuse, kushusha watu na kukejeli. You should be the last person to accuse anybody of kupondaponda.

Criticism is a pillar of artwork, huwezi kuikwepa, mwandishi huyu anajaribu kujijenga kwenye sanaa ya tamthiliya, ajiandae kuchambuliwa. Sio akihojiwa ana lose his marbles na kufurumusha matusi.

Kwenye sanaa kuna mtu anaitwa art critic, unaweza kuchora kikaragosi, mfano wa mtu, art critic atakwambia no, umekosea, pua pandisha juu! Nimekosea nini wakati mimi ndio nimebuni kikatuni na sijasema ni picha halisi ya Magufuli? Art criticism haikwepeki. Na inajumuisha, in fact inaanza na, authenticity ya artwork yako, unadai haki-miliki, well, wewe mwenyewe ulijimilikishaje, umeibuni au umemeza ukatapika?

Na kwa wewe wa Kankekee, Illinois, hivi vitu ni vya kawaida sana huko, you should be the last one to demur at criticism.
Mkuu Bu'yaka

Mimi nina ombi moja tu kwako, nifafanulie kiuweledi maana ya "plagiarism" kwanza kwa kutoa mifano halisi halafu ndio tuendelee na mengine.

Kaka ...
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom