Top Secret: Nyaraka Namba 12333 kutoka Whitehouse

Top Secret: Nyaraka Namba 12333 kutoka Whitehouse

Status
Not open for further replies.
Muhimu Sana: Tafadhali usiquote Uzi wote kuepusha usumbufu kwa wanaotumia simu

Unaweza tu kunimention kwa kuandika @ The bold katika comment yako nitaiona..

Tuzingatie hilo tafadhali..
Kwa uzi wako The bold umenikuna. Na nimeelewa sorce ya chuki zisizokwisha kati ya USA na Iran. Wengine tulidhani ni U-magharibi na uislam, kumbe ni kwa ajili ya maslahi ya matumbo ya wakubwa!
 
Kwa uzi wako The bold umenikuna. Na nimeelewa sorce ya chuki zisizokwisha kati ya USA na Iran. Wengine tulidhani ni U-magharibi na uislam, kumbe ni kwa ajili ya maslahi ya matumbo ya wakubwa!

Yes! Mataifa mengi yenye chuki na US wengi wao sababu zao ni kutokana na ishu kama hizi.. Kuingilia mambo ya ndani ya nchi za watu..

Ni kama US miaka ya nyuma "walichonga vinyago vingi na sasa vinyago hivyo vimepata uhai vinaanza kuwatisha"..

Afrika tuna mambo ya kujifunza kutokana na matukio kama haya..
 
Naam, wewe hata siku moja sijawahi kukuona ukiwa positive.

Karibu mabandiko yako yote humu huwa ni ya kukosoa. Na hata kukosoa kwa kujenga hujui.

Mara zote huwa uko hasi tu. Ni kama vile huwa unatafuta dosari tu kwa wenzako as if wewe huna dosari zozote zile.

Nadhani huwa unaona hata reactions za watu dhidi yako zikoje mara zote uwatoapo dosari zao. Tabia yako ni mbaya. Mbovu kabisa yaani.

Critic gani wewe huna hata lugha ya kiungwana? Huna kauli nzuri. Lakini mwenyewe hapo ulipo si ajabu huoni hata tatizo lako liko wapi maskini ya mungu. Unajiona uko sawa tu, uko sahihi mara zote.

Sasa kwa taarifa yako, wakati mwingine si kile ukisemacho ndicho cha muhimu sana bali ni namna kile ukisemacho unavyokisema ndo cha muhimu zaidi.

Jiangalie sana, tena jiangalie kwa kina. Kama unajiona wewe ni critic basi jirekebishe. Jifunze namna ya kufikisha ujumbe wako bila kukwaruza hisia za watu.

Natumai ujumbe wa wadau walio wengi humu umeupata!
Nimecheka sana leo, kwakweli you made my christmass, sijaingia JF muda mrefu kwa kutumia Pc sasa leo ndio nimeiona signature yako imeboreshwa kwakeli nimecheka sana.

kuhusu huyo tutusa ni wa kumpotezea tu, mtu asiyethamini vipaji vya wengine hana tofauti na mchawi.
 
Nimecheka sana leo, kwakweli you made my christmass, sijaingia JF muda mrefu kwa kutumia Pc sasa leo ndio nimeiona signature yako imeboreshwa kwakeli nimecheka sana.

kuhusu huyo tutusa ni wa kumpotezea tu, mtu asiyethamini vipaji vya wengine hana tofauti na mchawi.
Mkuu nakusalimia siku nyingi sana.
 
Mkuu nimekuwa nikiangalia series inaitwa Homeland, na baada ya kusoma hili bandiko lako hapa napata Picha kuwa hawa jamaa wa CIA sio wa kuwachezea hata kidogo.......natamani kujua kama na sisi tuna vitengo vya siri ndani ya TISS au hata jeshini?
TISS wanacho, polisi wanacho. Hawa hasa vitengo vyao wanachunguza hasa watu wanaopinga chama tawala ccm, wanaleta migomo vyuoni na kwenye vyama vya wafanyakazi, kuwashughulikia mashekhe wa uamsho, kuuwa kila anayedhaniwa ni muislamu mwenye msimami mkali, mwanasiasa mwenye msimamo mkali.

Hatuna vitengo vya fitna zakiuchumi kama hawa miamba ya dunia. Vitengo vyakuwalinda viongizi wakienda nyumba ndogo na mahotelini vipo imara sana, sana, wakikushtukia unagonga nyumba ndogo ya mzee, kucha, meno ni halali yao.
 
TISS wanacho, polisi wanacho. Hawa hasa vitengo vyao wanachunguza hasa watu wanaopinga chama tawala ccm, wanaleta migomo vyuoni na kwenye vyama vya wafanyakazi, kuwashughulikia mashekhe wa uamsho, kuuwa kila anayedhaniwa ni muislamu mwenye msimami mkali, mwanasiasa mwenye msimamo mkali.

Hatuna vitengo vya fitna zakiuchumi kama hawa miamba ya dunia. Vitengo vyakuwalinda viongizi wakienda nyumba ndogo na mahotelini vipo imara sana, sana, wakikushtukia unagonga nyumba ndogo ya mzee, kucha, meno ni halali yao.

[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] mkuu hii ni from experience nini?
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom