Top Secret: Nyaraka Namba 12333 kutoka Whitehouse

Status
Not open for further replies.
Mkuu umenena kitu chema-elimu ndio kila kitu uwekezaji mkubwa unafanywa na makampuni ya nje sababu hatuna technology hata leo hii tukisema tuvinje mikataba tunaweza but tuna technology ya kuendeleza hayo makampuni jibu ni hapana.
Pili,utawezaje kuwa mgunduzi na mbunifu wa mambo kama unatumia lugha ya mtu mwingine kujifunza??? Hapa napo jibu ni hapana huwezi , nchi zinazoongoza kwa technologia zinatumia lugha zao.haya mambo yalisetiwa toka enzi hizo ku undo kunahitaji kuwa na mtawala mwenye upeo mkubwa sana,the only solution tunachoweza kufanya ni kuwa kama china ku import technology kwa kusomesha watu kisha kurudi na kuwatengezea mazingira na hii ni long run solution.
Tunagandamizwa kwa kupitia Mult national corporations na kuondoka kwenye mikataba huu sio CCM wala CDM wanaweza bali apatikane mtawala mwenye maono tofauti kabisa
 
Whaaaaat?Makala mpya?
Ngoja nilike kwanza kisha nitarejea kuisoma.
Japo sijaisoma ila naona kabisa itakuwa motroooo,hujawahi kukosea bae.
Thank you.
[emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji40] [emoji39] [emoji39]
 
The Bold Hii stori ya CIA imeniunganishia Na "Iran Contra affairs"
Ubarikiwe mkuu. YouTube wanayo
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…