Top ten Bongo male celebrities (wasanii)

Top ten Bongo male celebrities (wasanii)

Tuweke ushabiki pembeni. Nyimbo za kiba zinaishi kuliko za mondi.
Zinaweza zisiwe hit songs lkn ni nzuri, zenye ujumbe murua. Zina maadili na zinasikilizika na rika lote.
Angekuwa anaongoza kwa mauzo ya kazi zake sasa, maana miaka yote watu wangekuwa wanasikiliza nyimbo zake kwa tafsiri yako ila hiko ulichosema sio uhalisia
 
Rayvanny nje ya WCB hana maajabu...

Harmonize kwenye kutunga mashairi[emoji91][emoji91][emoji91]Na ndiyo sababu pale usafini bado anawaumiza vichwa sana.
Shida mnafocus na wasafi sana kuliko kutazama mambo yenu, hayo mashairi ya kujiliza kila kuwa mapenzi yanaumiza kila msanii anaweza na ndio maana upcoming yyte yule ngoma yake ya kwanza huwa ni kuhusu kuumizwa na mapenzi.

Kaangalie namba za harmonize na hao wasafi ndio utajua nani anapata shida juu ya mwenzie, harmonize angekuwa hateseki na wasafi asingefocus na Mond from Jan - Dec each year na kununua youtube views
 
page za udaku zinatazamwa hadi nje ya tz...

simtetei hata hivyo, mambo ya nje siyafahamu
Ndio utaje lini harmonize umemuona kwenye headlines nje ya mipaka ya Tz??? Au huwausikii balaa la Mond na wa nigeria?

Nenda ukurasa wa ig unaitwa topcharts wa Nigeria huwa wanatoa taarifa khsu celebrities wanaoongoza kuzungumziwa na kwenye mitandao, the whole East Africa ni Diamond pekee huwa anaongoza kutokea mara kwa mara kwenye huo ukurasa.

Page za udaku zinatazamwa hadi nje ya Tz, acha utani ndugu hv kuna page yyte ya udaku ya bongo ambayo ni maarufu nje ya mipaka ya Tz? Ingekuwa hivyo basi bongo tungekuwa tuna celebrities wengi wanaotambulika Africa
 
Wengi tunapenda kusikiliza ujinga ujinga. Hii ndo sababu
Angekuwa anaongoza kwa mauzo ya kazi zake sasa, maana miaka yote watu wangekuwa wanasikiliza nyimbo zake kwa tafsiri yako ila hiko ulichosema sio uhalisia
 
Ndio utaje lini harmonize umemuona kwenye headlines nje ya mipaka ya Tz??? Au huwausikii balaa la Mond na wa nigeria?

Nenda ukurasa wa ig unaitwa topcharts wa Nigeria huwa wanatoa taarifa khsu celebrities wanaoongoza kuzungumziwa na kwenye mitandao, the whole East Africa ni Diamond pekee huwa anaongoza kutokea mara kwa mara kwenye huo ukurasa.

Page za udaku zinatazamwa hadi nje ya Tz, acha utani ndugu hv kuna page yyte ya udaku ya bongo ambayo ni maarufu nje ya mipaka ya Tz? Ingekuwa hivyo basi bongo tungekuwa tuna celebrities wengi wanaotambulika Africa
Mwamba unajua kujenga hoja
 
Wengi tunapenda kusikiliza ujinga ujinga. Hii ndo sababu
Wewe unaweza kuwa unampenda Kiba na nyimbo zake lakini soko la mziki linampenda mondi Ndio Maana unakuta diamond anaongoza zaidi kwa kuuza nyimbo zake kuliko wasanii wote wa tz mpaka kwenye viewers.Ukija kwenye mafanikio ya jumla Ndio msanii aliyofanikiwa zaidi hivi vyote haviji kwa bahati mbaya nikujua mahitaji ya soko yanataka nini na wewe ufanye nini
 
Hiyo ni kwa 2023 waliotrend. Na nimeongelea kwa wasanii tu
Kwani waigizaji sio wasanii..

Na hata ukiongelea 2023 sijaona kitu ambacho lavalava au whozu amefanya kuliko jux

Na kingine kinachomuweka jux siku zote ni mahusiano yake, muziki na ile hali ya kuwa fashion icon kwa wasanii

Jux sio lazma aimbe ili aongelewe,
vipi kuhusu hao wengine au ulitumia video vipi kupima nguvu yao mkuu
 
Ndio utaje lini harmonize umemuona kwenye headlines nje ya mipaka ya Tz??? Au huwausikii balaa la Mond na wa nigeria?

Nenda ukurasa wa ig unaitwa topcharts wa Nigeria huwa wanatoa taarifa khsu celebrities wanaoongoza kuzungumziwa na kwenye mitandao, the whole East Africa ni Diamond pekee huwa anaongoza kutokea mara kwa mara kwenye huo ukurasa.

Page za udaku zinatazamwa hadi nje ya Tz, acha utani ndugu hv kuna page yyte ya udaku ya bongo ambayo ni maarufu nje ya mipaka ya Tz? Ingekuwa hivyo basi bongo tungekuwa tuna celebrities wengi wanaotambulika Africa
Diamond ni top celebrity kwa Tanzania na mtu kupinga ni aamue.

Lakini hapo kwenye kuongelewa Nigeria ni kwa sababu ya kuwa copy cat wao lakini sio kwa sababu wanafuatilia kitu kingine kutoka kwake

Ndio maana Diamond kashikilia hapo hapo maana inamlipa. Si umeona wimbo wake na Chike umefanya vizuri Nigeria 😁😁

Hicho kitu anakiweza Vanesa mdee tu hata kabila ya kuwa na rotimi. Vee kiufupi ndio alikuwa msaanii wa tz mwenye power kubwa nje ya East Africa kuliko wote na diamond akiwemo
 
Back
Top Bottom