Top Ten viwanja vya ndege vinavyohudumia Abiria wengi Tanzania

Dodoma imapitwaje na Bukoba?
Endeleeni kuwaita watu wa Bukoba maskini nyinyi na NBS yenu...

Takwimu za mwisho za kiwilaya Bukoba ndo Wilaya ilivyokuwa na idadi kubwa ya watu wenye Kipato Tanzania hii na idadi ndogo sana ya maskini. Hii ilikuwa 2005 mara ya mwisho research ya kiwilaya kufanyika


 
Kwenye mwanza naunga mkono hoja MAANA last born wetu na familia yake wanasafir safir Sanaaa DAR-MZA go & return hapo Nina A,B,C
 
Kwenye mwanza naunga mkono hoja MAANA last born wetu na familia yake wanasafir safir Sanaaa DAR-MZA go & return hapo Nina A,B,C
Hakuna cha KIA hapo Airport ya Mwanza sio international lakini inawajambisha kwa abiria wa ndani Mwnza haijawahi kutoka top two, Mwandishi kaandika kuibeba Kilimanjaro.
 
Umesahau: Msoga airport iko ndani ya 10 bora
 
Ndugu, wapi nimewaita watu wa Bukoba kuwa maskini?.
 
source of info?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…