The Sunk Cost Fallacy
JF-Expert Member
- Dec 1, 2021
- 19,582
- 14,167
Unaijua Kenya na Nairobi kiujumla πππKuna mengi nikiyaleta humu itabaki umeduwaa!!!Licha kujigamba kote kumbe Dar si chochote mbele ya Nairobi,Accra na Abidjan.
Licha kujigamba kote kumbe Dar si chochote mbele ya Nairobi,Accra na Abidjan.
Kama Vifaranga tuu tumeshindwa kujitosheleza sembuse mzigo wa Bandari ?View attachment 2365572
Hili mi ndo linaniuma roho sana kwamba volume ya mizigo katik bandari zetu zote mpaka zenji haziifikii mombasa portπ₯π₯π₯
Saizi hakuna kupika dataTumeporomoka kutoka uchumi wa kati
Sisi kwa Kenya bado sana hilo lipo wazi ,sisi tunapenda kuleta ujuaji sana kila sehemu hao ndo wasomi wetu kupiga picha kweny magorofa tu. Kenya kanchi kadogo watu wachache Wana bajeti kubwa kuliko sisi Nairobi Kuna Matajiri wengi sana kuliko dar hata hayo majiji yetu mengi hayaeleweki yaani bongo balaa tupu.Kama Vifaranga tuu tumeshindwa kujitosheleza sembuse mzigo wa Bandari?
Tanzania tunachoweza ni mdomo,kupigana miti na uchawi mambo ya msingi hakuna.
Dar es Salaam imekua sana kipindi cha Mwinyi- Mkapa - Kikwette. Majengo mzuri na marefu, barabara nzuri na za kisasa na makazi ya watu yalijengwa kipindi hicho. Kama Magufuli asingekuja mwaka 2015 na kukimbiza makao Makuu Dodoma, sasa hiv Dar es Salaam ingekuwa kwenye top 5 ya big/ best cities in Africa sambamba na Joburg, Cairo, Lagos na Capetown.. Maamuzi ya kuhamia Dodoma ndiyo yalirudisha nyuma ukuaji wa Dar es SalaamKwa Mujibu wa Africa Facts zone,Dar inashika namba 11 na haimo kwenye List ya Majiji 10 Tajiri zaidi Afrika..
Source-Africa Wealth Report 2022.
List kamili hii hapa π
Wala sio kuhamia Dom bali real sector ilikufa Kifo cha Mende kwa sera mbovu za Mwendazake..Dar es Salaam imekua sana kipindi cha Mwinyi- Mkapa - Kikwette. Majengo mzuri na marefu, barabara nzuri na za kisasa na makazi ya watu yalijengwa kipindi hicho. Kama Magufuli asingekuja mwaka 2015 na kukimbiza makao Makuu Dodoma, sasa hiv Dar es Salaam ingekuwa kwenye top 5 ya big/ best cities in Africa sambamba na Joburg, Cairo, Lagos na Capetown.. Maamuzi ya kuhamia Dodoma ndiyo yalirudisha nyuma ukuaji wa Dar es Salaam
Kuwa na Bandari ndio nini?Inakuaje izidiwe na majiji yasio kuwa na bandari
Hawa wanao rate haya majiji mara waisifie kuwa ipo ndani ya 10 mara waiteme yani kizungumkuti tupuKwa Mujibu wa Africa Facts zone,Dar inashika namba 11 na haimo kwenye List ya Majiji 10 Tajiri zaidi Afrika..
Source-Africa Wealth Report 2022.
List kamili hii hapa π
DAR nalo jiji au fishing village ?,how dare are you ?Kwa Mujibu wa Africa Facts zone,Dar inashika namba 11 na haimo kwenye List ya Majiji 10 Tajiri zaidi Afrika..
Source-Africa Wealth Report 2022.
List kamili hii hapa [emoji116]
Egypt inajenga Jiji jipya πDAR nalo jiji au fishing village ?,how dare are you ?
Af nyie mnahangaika na vijumba uchwara vya NHC ...vinavyojengwa huko dodoma na darLuanda City pande za Angola kama Mbele tuu huko [emoji116]
Hivyo ndivyo Dom itajengwaAf nyie mnahangaika na vijumba uchwara vya NHC ...vinavyojengwa huko dodoma na dar