Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na siasa mbovu, wizi kila mahali, uvivu wa watendajiKama Vifaranga tuu tumeshindwa kujitosheleza sembuse mzigo wa Bandari ?
Tanzania tunachoweza ni mdomo,kupigana miti,ushabiki wa Yanga na Simba na uchawi mambo ya msingi hakuna.
Dom hii au Dom park ya pale Los AngelesHivyo ndivyo Dom itajengwa
Samia Housing Scheme 👇Dom hii au Dom park ya pale Los Angeles
Vijumba uchafu hvyoSamia Housing Scheme [emoji116]
HAO NI WAKENYA WANACHAPISHA UPUUZI HUU KATIKA KUONESHA NJE AU NGAMBO KWAMBA WAKO BORA "THATS NOT TRUE AT ALL" kwanza SQM ZA JIJI LA NAIROBI AIBU TUPU, SAME TU WILAYA YA ILALA,KABLA CHANIKA HAIJAWA ILALA.Kwa Mujibu wa Africa Facts zone,Dar inashika namba 11 na haimo kwenye List ya Majiji 10 Tajiri zaidi Afrika..
Source-Africa Wealth Report 2022.
List kamili hii hapa 👇
Dar es Salaam imekua sana kipindi cha Mwinyi- Mkapa - Kikwette. Majengo mzuri na marefu, barabara nzuri na za kisasa na makazi ya watu yalijengwa kipindi hicho. Kama Magufuli asingekuja mwaka 2015 na kukimbiza makao Makuu Dodoma, sasa hiv Dar es Salaam ingekuwa kwenye top 5 ya big/ best cities in Africa sambamba na Joburg, Cairo, Lagos na Capetown.. Maamuzi ya kuhamia Dodoma ndiyo yalirudisha nyuma ukuaji wa Dar es Salaam
Chapisha list yako ya ukweliHakuna ukweli...
Ushafika Kigali na Lusaka!?Duuh kwamba Addis Ababa haipo yani sisi hatukutakiwa kuwa hata kwenye hiyo nafasi tena nahisi tumepitwa hadi na miji kama Kigali na Lusaka
Aliua mazingira ya uwekezaji binafsi ikiwemo ku discourage sekta ya real estate..Acha kumsingizia Magufuli kila kitu.
Kwa hiyo serikali ndo ingejenga hayo majengo?
Barabara za Dar zimejengwa sana wakati wa Magufuli. Sie huku mbagala ndani kabisa lami inapita.
Wapi pameandikwa Dar inaingia mara mbili? Hapo ni value sio quantity au size ndio ina matter.Kwamba dar inaingia Mara mbili kwa Nairobi na wewe unakubali!!
Dar 24,Nairobi 48Wapi pameandikwa Dar inaingia mara mbili? Hapo ni value sio quantity au size ndio ina matter.
Halafu wanataka kuongeza bandari ingine ya bagamoyo wakati hio ya dar tu haifanyi kazi kwa ufanisi.nchi imerogwa hiiView attachment 2365572
Hili mi ndo linaniuma roho sana kwamba volume ya mizigo katik bandari zetu zote mpaka zenji haziifikii mombasa port😥😥😥
Ndio in terms of Wealth ndio ukweli maana hata Uchumi wa Tanzania unaingia mara 2 ya Uchumi wa Kenya..Dar 24,Nairobi 48
Hivi bado unaumiaga tu,sisi roho zilishakufa ganzi kitambo.linaniuma roho
Kuna uzi flani wa kijinga wa kuilinganisha na Nairobi huwa nacheka sana.Licha kujigamba kote kumbe Dar si chochote mbele ya Nairobi,Accra na Abidjan.