Accumen Mo
JF-Expert Member
- May 15, 2022
- 18,036
- 39,882
Inauma
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Naongezea bongo wengi ni scammer na wanatumia ujanja kutapeli watu wachache Wana biashara zinazoeleweka ..hao wakenya watu wana biashara kubwa na wahudhuria international exhibitions na mikutano ya kibiashara ,hapa bongo mtu akishaleta mzigo kutoka china basi yeye no billionaire karidhikaHapa kuna vitu vinachanganywa ndio maana kuna jaama kasema wabongo wanachonga sana lakini uelewa wao ni sifuri. List ilioletwa hapo ambayo Dar haipo kwenye top 10 ni ya majiji tajiri barani Africa. Wachangiaji wanashangaa ni vipi Nairobi imeipita Dar.
Kweli kwa majiji tajiri kwa africa lazima tukubali Nairobi ni zaidi ya Dar kwa sababu wameangalia ukwasi wa matajiri wanaoishi kwenye hio miji. Matajiri wengi wa Nairobi ni wasomi na wanaofanya biashara zinazoeleweka na ni kweli wako wengi zaidi kuliko Dar Es Salaam. Matajiri wengi wa bongo ni wa janja janja hivyo hawako kwenye hesabu kama wa miji mingine hio iliopo kwenye top 10. Inshort, Dar ina vitajiri uchwara.
Kwa ukubwa na ukuaji wa jiji kimajengo na idadi ya watu Dar ni zaidi ya Nairobi na imo kwenye top 5 barani Africa. Watu wasichanganye vitu hapa.
...Utajiri katika Nini, labda wafanye Hapo kwanza...!!Kwa Mujibu wa Africa Facts zone,Dar inashika namba 11 na haimo kwenye List ya Majiji 10 Tajiri zaidi Afrika..
Source-Africa Wealth Report 2022.
List kamili hii hapa [emoji116]
😂😂😂Hivi bado unaumiaga tu,sisi roho zilishakufa ganzi kitambo.
Mkuu huu mradi wa kawe Ni mpya au Ni mwendelezo wa uke mradi wa Yale majengo uliostuckWala sio kuhamia Dom bali real sector ilikufa Kifo cha Mende kwa sera mbovu za Mwendazake..
Taratibu saizi inaanza kujikongoja upya.👇
Wanamalizia ule wa zamani na kuanza mpya..Mkuu huu mradi wa kawe Ni mpya au Ni mwendelezo wa uke mradi wa Yale majengo uliostuck
Safi Sana..ujenzi umeanza?Wanamalizia ule wa zamani na kuanza mpya..
Unaanza mwanzo wa Mwezi wa kumi au mwisho wa mwezi wa 9 kwa mujibu wa taarifa yao.Safi Sana..ujenzi umeanza?
Vizuri maana maendeleo ndy kitu watz wanatakaUnaanza mwanzo wa Mwezi wa kumi au mwisho wa mwezi wa 9 kwa mujibu wa taarifa yao.
Ongezea connection ya wanafunzi wa vyuo pumbavu sana hii inchi imerogwa?Kama Vifaranga tuu tumeshindwa kujitosheleza sembuse mzigo wa Bandari ?
Tanzania tunachoweza ni mdomo,kupigana miti,ushabiki wa Yanga na Simba na uchawi mambo ya msingi hakuna.
Hao jamaa viwanja vipo ila izo kampuni kwa kweli mkuu Zina hatar watu wanalia daily sio kampuni za viwanja wala hawa wanaoagiza magari ,wengi scammersTaratibu Dar inaanza kufufua kwenye real estate 👇
Kwa hiyo dar na Nairobi ndiyo chumi za tz na Kenya!?Ndio in terms of Wealth ndio ukweli maana hata Uchumi wa Tanzania unaingia mara 2 ya Uchumi wa Kenya..
Hilo ni jibu sio swaliKwa hiyo dar na Nairobi ndiyo chumi za tz na Kenya!?
Unamaanisha mikoa zaidi ya 25 tz haijalishi chochote...Nairobi Kuna slam ya viwango dunianiHilo ni jibu sio swali
Nusu ya GDP ya Kenya na Tanzania inatoka Nairobi na Dar mtawaliaUnamaanisha mikoa zaidi ya 25 tz haijalishi chochote...Nairobi Kuna slam ya viwango duniani
Unamaanisha GDP ya Nairobi ni GDP ya tz!?Nusu ya GDP ya Kenya na Tanzania inatoka Nairobi na Dar mtawalia
3/4 ya Tanzania.Unamaanisha GDP ya Nairobi ni GDP ya tz!?