Top Ten ya majiji tajiri zaidi Afrika 2022, Nairobi namba 5, Dar es Salaam haimo

Top Ten ya majiji tajiri zaidi Afrika 2022, Nairobi namba 5, Dar es Salaam haimo

Kitu watu wasichojua ni kuwa kati 10 most worst slums in afrika 4 are in Nairobi,kwa afrika mashariki Nairobi ndo mji wenye street children and omba omba wengi kuliko mji wowote ule hadi hii leo 2023 Nairobi bado kuna nyumba nyingi tu za tope,hapo sijazungumzia usafi Kwa majiji yaliyotuzunguka Tz, Nairobi ndo jiji chafu kuliko yote,ukija kwenye hali za maisha zaid ya 80% ya wakazi wa Nairobi wanaish kwenye nyumba za kupanga kwa maisha yao yote yaan mtu anazaliwa hadi anakufa ni mpangaji,
Yes Nairobi wanazo barabara nying kuliko Dsm lakin barabara za Nairobi are very poor quality.
Acha uongo jombaa.
 
Back
Top Bottom