Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,034
- 6,913
- Thread starter
-
- #21
Nitaweka wiki ijayo but ukisoma hiyo pdf hapo juu utazikuta japo haziko kwenye ascending orderMkuu
Mkuu tuwekee na data za per capita. Hilo ndilo linaonyesha kipato cha mtu mmojammoja na hali halisi ya maisha.
Mheshimiwa, michango ktk GDP ya Taifa (Tanzania Muungano au Tanzania - Tanganyika?), na kama Muungano Zanzibar iko wapi? maana juzi tumegawana zile gharama zilizokuwa zimetengwa kwa ajili ya sikukuu ya muungano.Niwasalimu kwa jina la JMT
Moja kwa moja kwenye mada,Kila mkoa na wananchi wake wanachangia sana kukuza uchumi wa Nchi na pato lao,lakini Ifuatayo ni Mikoa 10 ya wachapa kazi inayoongoza kuchangia pato la Taifa "GDP" zaidi kuliko Mikoa mingine.Ni muhimu kuibainisha na kuitambua ili kuipa credit stahiki.(Regions with the Largest Shares of GDP 2019)
1. Dar es Salaam=23,896,520 (17.1%)
2. Mwanza=10,285,442 (7.4%)
3. Mbeya=7,849,917 (5.6%)
4. Shinyanga incl.Simiyu=7,175,982 (5.1%)
5. Morogoro=6,716,296 (4.8%)
6. Arusha=6,562,356 (4.7%)
7. Tanga=6,548,355 (4.7%)
8. Kilimanjaro=6,298,586 (4.5%)
9. Geita=6,211,376 (4.4%)
10. Ruvuma=5,317,073 (3.8%)
MY TAKE: Nimefurahishwa na kuendelea kupungua kwa gap la kiuchumi kati ya Dar na Mikoa Mingine.Ukiangalia hapo utakuta mikoa 3 inayoifuatia Dar kwa pamoja imechangia zaidi kuliko Dar ingawa gap bado ni kubwa but natumai litazidi kupungua kadiri uwekezaji unavyokua mikoani na kufuta kabisa utegemezi wa uchumi kwa Mkoa wa Dar na ile dhana ya Dar ndio Tzn.
Pili nitoe pongezi kwa Mikoa ya Mwanza,Mbeya na Geita kwa kuendelea kufanya vizuri,japo inashangaza kuona mkoa kama Morogoro, Lindi, Ruvuma, Kagera, Njombe, Mtwara na Kigoma kushindwa kuchangia zaidi kwenye pato la Taifa maana mikoa hiyo ina kila kitu kinachoweza kuufanya kuongoza Kitafa. kama ardhi nzuri, mvua za kutosha, mifugo, madini, misitu bahari, maziwa nk
Kana kwamba haitoshi ifike mahala viongozi wa mikoa mingine wapewe malengo ya miaka 5, kwa sababau haiingii akilini kwamba zaidi ya mikoa 16 iliyobaki iko chini ya asilimia 3.5% ,sasa hapa si wanalishwa bure hawa. Kwa maelezo zaidi soma pdf hapa chini pg 48-54.
SOURCE-NATIONAL ACCOUNTS OF TANZANIA MAINLAND 2013-2019, SECOND EDITION IN THE REVISED GDP SERIES BASE YEAR 2015
CREDITS-National Bureau of Statistics, Ministry of Finance and Planning,November 2020.
Hii inaonyesha kumekua na maendeleo makubwa ya uchumi katika uwekezaji huko mikoani
Na haya ni matokeo ya Juhudi za kuboresha miundombinu muhimu kama barabara, reli, umeme, maji nk
Kazi iendelee
Huu ujinga kawapashe familia y'all watakushukuruArusha ni ya pili, acheni uhuni, hizo data zilipikwa labda kumfurahisha Magu back in the days, sbb ya ukanda wa Ziwa..!!
Uwe unasoma sio kukirupuka ,Rudi kwenye pdf hapo kuna hayo majibu ya maswali yakoMheshimiwa, michango ktk GDP ya Taifa (Tanzania Muungano au Tanzania - Tanganyika?), na kama Muungano Zanzibar iko wapi? maana juzi tumegawana zile gharama zilizokuwa zimetengwa kwa ajili ya sikukuu ya muungano.
Na mimi nataka ishuke zaidi Ili tuheahimianeDar ilifaidi tu centralization ya shughuli za serikali, kibiashara na bandari (sababu zingine zilidumaa au kudumazwa) ambayo ilipelekea kuwa na population kubwa sana, ila kiuhalisia haina natural advantage yoyote kwa shughuli za kiuchumi kulinganisha hata na Tanga.
Kiufupi Dar imekuzwa tu
na kwa decentralization inayoendelea ya kiserikali, Bandari nyingine zikipanuliwa zaidi, Huduma za kijamii na miundombinu inavyopanuliwa mikoani
Influence ya Dar itazidi kushuka zaidi ya Hapa japo itaendelea kuwa commercial city ta Tz kwa miaka mingi zaidi
Usisahau kuweka na list ya mikoa masikini zaidi Tanzania.Nitaweka wiki ijayo but ukisoma hiyo pdf hapo juu utazikuta japo haziko kwenye ascending order
Una chuki na DarSoon mtaanza kutoka Dar na kuhamia mikoani,time will tell
Watakuwa wanachangia sana wakiwa Mwanza, Dar na Arusha.Wachaga na misifa yote hiyo kumbe wanachangia kidogo tu!!.
Ama kweli wizi ni laana
Wewe una shida na Mkoa wa Dar.Dar ilifaidi tu centralization ya shughuli za serikali, kibiashara na bandari (sababu zingine zilidumaa au kudumazwa) ambayo ilipelekea kuwa na population kubwa sana, ila kiuhalisia haina natural advantage yoyote kwa shughuli za kiuchumi kulinganisha hata na Tanga.
Kiufupi Dar imekuzwa tu
na kwa decentralization inayoendelea ya kiserikali, Bandari nyingine zikipanuliwa zaidi, Huduma za kijamii na miundombinu inavyopanuliwa mikoani
Influence ya Dar itazidi kushuka zaidi ya Hapa japo itaendelea kuwa commercial city ta Tz kwa miaka mingi zaidi
Chuki ya nini na kwa nini niwe na chuki? kwani kutoa maoni mbadala ndio chuki? Hilo ni wazi mtaanza kutoka Dar kuja mikoani.Kwa nini nasema hivi,jibu ni moja uwekezaji mkubwa unafanyika mikoani bandari mpya zinajengwa,viwanja vya ndege na miji mingine inakua vyote hivi vitasababisha utegemezi kwa Dar kupungua na kuifanya Dar ya kawaida.Una chuki na Dar
Labda Dar kama jiji ila sio Dar kama mkoa.Jimbo la Carlifonia ni tajiri kuliko yote marekani ila jiji kuu ni New York jimbo jingine pengine ndivyo itakuwa but ushawishi wake unapungua kwa kasi sana.Adi tunakufa sisi na wa jukuu wetu Dar itabaki kileleni!
Ule ni mji mkuu sio mji wa biasharaMtoa Mada anabeef na Makao makuu ya nchi.
Takwimu za umaskini zina factor nyingi mkuu ,nitacheki kwenye house hold survey maana ni ngumu sana kuja na hiyo list.Next wiki nitakuja na takwimu za per capita income kwa mikoaUsisahau kuweka na list ya mikoa masikini zaidi Tanzania.
Naona wameichanganya na Simiyu. 2 in 1Kahama ndiyo imeibeba Shinyanga.
Nashangaa Iringa haipo.Niwasalimu kwa jina la JMT
Moja kwa moja kwenye mada,Kila mkoa na wananchi wake wanachangia sana kukuza uchumi wa Nchi na pato lao,lakini Ifuatayo ni Mikoa 10 ya wachapa kazi inayoongoza kuchangia pato la Taifa "GDP" zaidi kuliko Mikoa mingine.Ni muhimu kuibainisha na kuitambua ili kuipa credit stahiki.(Regions with the Largest Shares of GDP 2019)
1. Dar es Salaam=23,896,520 (17.1%)
2. Mwanza=10,285,442 (7.4%)
3. Mbeya=7,849,917 (5.6%)
4. Shinyanga incl.Simiyu=7,175,982 (5.1%)
5. Morogoro=6,716,296 (4.8%)
6. Arusha=6,562,356 (4.7%)
7. Tanga=6,548,355 (4.7%)
8. Kilimanjaro=6,298,586 (4.5%)
9. Geita=6,211,376 (4.4%)
10. Ruvuma=5,317,073 (3.8%)
MY TAKE: Nimefurahishwa na kuendelea kupungua kwa gap la kiuchumi kati ya Dar na Mikoa Mingine.Ukiangalia hapo utakuta mikoa 3 inayoifuatia Dar kwa pamoja imechangia zaidi kuliko Dar ingawa gap bado ni kubwa but natumai litazidi kupungua kadiri uwekezaji unavyokua mikoani na kufuta kabisa utegemezi wa uchumi kwa Mkoa wa Dar na ile dhana ya Dar ndio Tzn.
Pili nitoe pongezi kwa Mikoa ya Mwanza,Mbeya na Geita kwa kuendelea kufanya vizuri,japo inashangaza kuona mkoa kama Morogoro, Lindi, Ruvuma, Kagera, Njombe, Mtwara na Kigoma kushindwa kuchangia zaidi kwenye pato la Taifa maana mikoa hiyo ina kila kitu kinachoweza kuufanya kuongoza Kitafa. kama ardhi nzuri, mvua za kutosha, mifugo, madini, misitu bahari, maziwa nk
Kana kwamba haitoshi ifike mahala viongozi wa mikoa mingine wapewe malengo ya miaka 5, kwa sababau haiingii akilini kwamba zaidi ya mikoa 16 iliyobaki iko chini ya asilimia 3.5% ,sasa hapa si wanalishwa bure hawa. Kwa maelezo zaidi soma pdf hapa chini pg 48-54.
SOURCE-NATIONAL ACCOUNTS OF TANZANIA MAINLAND 2013-2019, SECOND EDITION IN THE REVISED GDP SERIES BASE YEAR 2015
CREDITS-National Bureau of Statistics, Ministry of Finance and Planning,November 2020.