Top ten ya Mikoa inayoongoza kuchangia pato la Taifa

Top ten ya Mikoa inayoongoza kuchangia pato la Taifa

Ndio tunataka taarifa za kichambuzi kama hizi JF. Sio mtu anaamka tu na kutoa yake kichwani bila source yoyote anakuja na kichwa "tafiti niliyofanya kuhusu.........." Ukimuuliza source ya data zako anakwambia fanya na wewe tafiti utaona.

Turudi kwenye mada, nchi imepanuka mkuu siku hizi watu hawajali saana kukimbilia mijini kama ilivyokua zamani zaidi zaidi wengi wanarudisha mpira kwa kipa(wanarudi mikoa waliyokulia kama miji waliyoenda kusaka ugali imewatupa mkono ama lah wanazidi jichimbia mikoa mingine sio dar dar dar tu.)
🙏🙏 Upatikanaji wa umeme na huduma zingine za msingi kijijini kunafanya kasi ya kuhamia mijini kupungua.
Kabisa mkuu huduma za kijamii walau zimesogezwa sasa hivi watu hawana shauku kubwa ya kwenda dar kwasababu mikoa mingi imeendelezwa.
 
Niwasalimu kwa jina la JMT

Moja kwa moja kwenye mada,Kila mkoa na wananchi wake wanachangia sana kukuza uchumi wa Nchi na pato lao,lakini Ifuatayo ni Mikoa 10 ya wachapa kazi inayoongoza kuchangia pato la Taifa "GDP" zaidi kuliko Mikoa mingine.Ni muhimu kuibainisha na kuitambua ili kuipa credit stahiki.(Regions with the Largest Shares of GDP 2019),Figures in Million TZS.

1. Dar es Salaam=23,896,520 (17.1%)

2. Mwanza=10,285,442 (7.4%)

3. Mbeya=7,849,917 (5.6%)

4. Shinyanga incl.Simiyu=7,175,982 (5.1%)

5. Morogoro=6,716,296 (4.8%)

6. Arusha=6,562,356 (4.7%)

7. Tanga=6,548,355 (4.7%)

8. Kilimanjaro=6,298,586 (4.5%)

9. Geita=6,211,376 (4.4%)

10. Ruvuma=5,317,073 (3.8%)

MY TAKE: Nimefurahishwa na kuendelea kupungua kwa gap la kiuchumi kati ya Dar na Mikoa Mingine.Ukiangalia hapo utakuta mikoa 3 inayoifuatia Dar kwa pamoja imechangia zaidi kuliko Dar ingawa gap bado ni kubwa but natumai litazidi kupungua kadiri uwekezaji unavyokua mikoani na kufuta kabisa utegemezi wa uchumi kwa Mkoa wa Dar na ile dhana ya Dar ndio Tzn.

Pili nitoe pongezi kwa Mikoa ya Mwanza,Mbeya na Geita kwa kuendelea kufanya vizuri,japo inashangaza kuona mkoa kama Morogoro, Lindi, Ruvuma, Kagera, Njombe, Mtwara na Kigoma kushindwa kuchangia zaidi kwenye pato la Taifa maana mikoa hiyo ina kila kitu kinachoweza kuufanya kuongoza Kitafa. kama ardhi nzuri, mvua za kutosha, mifugo, madini, misitu bahari, maziwa nk

Kana kwamba haitoshi ifike mahala viongozi wa mikoa mingine wapewe malengo ya miaka 5, kwa sababau haiingii akilini kwamba zaidi ya mikoa 16 iliyobaki iko chini ya asilimia 3.5% ,sasa hapa si wanalishwa bure hawa. Kwa maelezo zaidi soma pdf hapa chini pg 48-54.

SOURCE-NATIONAL ACCOUNTS OF TANZANIA MAINLAND 2013-2019, SECOND EDITION IN THE REVISED GDP SERIES BASE YEAR 2015

CREDITS-National Bureau of Statistics, Ministry of Finance and Planning,November 2020.
Tuendeleze kufungua nchi kwa kujenag mbiundombinu ya kutosha ili kuweza kukuza sekta zote kikimo, biashara,utalii,uwekezaji n.k
 
Hii inaonyesha kumekua na maendeleo makubwa ya uchumi katika uwekezaji huko mikoani
Na haya ni matokeo ya Juhudi za kuboresha miundombinu muhimu kama barabara, reli, umeme, maji nk

Kazi iendelee
Malizia ulichotaka kusema ukaogopa,kuwa hayo ni matunda ya Kayafa.
 
You stupid swine, ww huwezi nijibu kikuda mm, pumbaf, dirty shithole. Naona unajibu watu kishenzi shenzi. Idiot
Ushakula kitu cha chuga unabwatuka hovyo.
Kwa taarifa yako Covid-19 bado ipo sana ,tegemea Arusha itashuka zaidi kimapato kwasababu ya kupungua kwa idadi ya watalii.
 
Niwasalimu kwa jina la JMT

Moja kwa moja kwenye mada,Kila mkoa na wananchi wake wanachangia sana kukuza uchumi wa Nchi na pato lao,lakini Ifuatayo ni Mikoa 10 ya wachapa kazi inayoongoza kuchangia pato la Taifa "GDP" zaidi kuliko Mikoa mingine.Ni muhimu kuibainisha na kuitambua ili kuipa credit stahiki.(Regions with the Largest Shares of GDP 2019),Figures in Million TZS.

1. Dar es Salaam=23,896,520 (17.1%)

2. Mwanza=10,285,442 (7.4%)

3. Mbeya=7,849,917 (5.6%)

4. Shinyanga incl.Simiyu=7,175,982 (5.1%)

5. Morogoro=6,716,296 (4.8%)

6. Arusha=6,562,356 (4.7%)

7. Tanga=6,548,355 (4.7%)

8. Kilimanjaro=6,298,586 (4.5%)

9. Geita=6,211,376 (4.4%)

10. Ruvuma=5,317,073 (3.8%)

MY TAKE: Nimefurahishwa na kuendelea kupungua kwa gap la kiuchumi kati ya Dar na Mikoa Mingine.Ukiangalia hapo utakuta mikoa 3 inayoifuatia Dar kwa pamoja imechangia zaidi kuliko Dar ingawa gap bado ni kubwa but natumai litazidi kupungua kadiri uwekezaji unavyokua mikoani na kufuta kabisa utegemezi wa uchumi kwa Mkoa wa Dar na ile dhana ya Dar ndio Tzn.

Pili nitoe pongezi kwa Mikoa ya Mwanza,Mbeya na Geita kwa kuendelea kufanya vizuri,japo inashangaza kuona mkoa kama Morogoro, Lindi, Ruvuma, Kagera, Njombe, Mtwara na Kigoma kushindwa kuchangia zaidi kwenye pato la Taifa maana mikoa hiyo ina kila kitu kinachoweza kuufanya kuongoza Kitafa. kama ardhi nzuri, mvua za kutosha, mifugo, madini, misitu bahari, maziwa nk

Kana kwamba haitoshi ifike mahala viongozi wa mikoa mingine wapewe malengo ya miaka 5, kwa sababau haiingii akilini kwamba zaidi ya mikoa 16 iliyobaki iko chini ya asilimia 3.5% ,sasa hapa si wanalishwa bure hawa. Kwa maelezo zaidi soma pdf hapa chini pg 48-54.

SOURCE-NATIONAL ACCOUNTS OF TANZANIA MAINLAND 2013-2019, SECOND EDITION IN THE REVISED GDP SERIES BASE YEAR 2015

CREDITS-National Bureau of Statistics, Ministry of Finance and Planning,November 2020.
 
Back
Top Bottom