Opportunity Cost
JF-Expert Member
- Dec 10, 2020
- 9,034
- 6,913
- Thread starter
- #81
Ndio hapo sasa wanafaidika DarKwakua sheria haimbani kwamba kama Operations zako unafanya mkoani/Mkoa flani inabidi kampuni ukasajili huko huko
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio hapo sasa wanafaidika DarKwakua sheria haimbani kwamba kama Operations zako unafanya mkoani/Mkoa flani inabidi kampuni ukasajili huko huko
Mkuu hujaleta data za per capita. Ulisema wiki hii.Ndio hapo sasa wanafaidika Dar
Zitatoka keshoMkuu hujaleta data za per capita. Ulisema wiki hii.
Hueleweki mkuu ,usiandike huku unatekenywaNdo unakuja kushangaa tena halmashaur za mwisho kwenye kuchangia pato la taifa inatoka kwenye namba 4 hapo juu, ambayo ni wilaya ya itilima iliyoppo mkoan simiyu yaan hapo ya NNE kwenye uchangiaj wa mapaato ila ukija kwa halmashauri yake unkuta ni ya mwisho kitaifa
Umeandika namba 4 simiyu inachangia pato la taifa lkn ukija halmashauri ya mwisho inayoburuza mkia kwa mapato kitaifa inatokea hukoko simiyu ambayo ni itilima, hujaelewa nn hapo sasaHueleweki mkuu ,usiandike huku unatekenywa
Okay taarifa niliyotumia kutoka NBS haikuweza kutenganisha mikoa hiyo 2,inamaana ingetenganisha mkoa wa Shinyanga usingekuwepoUmeandika namba 4 simiyu inachangia pato la taifa lkn ukija halmashauri ya mwisho inayoburuza mkia kwa mapato kitaifa inatokea hukoko simiyu ambayo ni itilima, hujaelewa nn hapo sasa