Topics gani zilikutoa jasho, kipindi unasoma shule?

Topics gani zilikutoa jasho, kipindi unasoma shule?

Physics form one, topic jina siikumbuki ila swali linakuja kanuni ni Mass B minus mass A. Kivumbi ni ipi mass A na kwa nini na ni ipi mass b na kwa nini. We niliichukia physics mpaka leo japo Necta nina credit pass aisee.
๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…๐Ÿ˜…
 
Back
Top Bottom