Topics gani zilikutoa jasho, kipindi unasoma shule?

Topics gani zilikutoa jasho, kipindi unasoma shule?

Maisha Yana story ndefu,

Nilipenda kusoma science, sema nilikutana na matopic magumu sikuchelewa kukimbia.

Kwanza namlaumu huyo aliyetunga topic ya maths ya LOGARITHMS 😅 Aisee hili jiwe me teacher akifundisha natoka kapa.

Sijui kutumia four figure me kusoma sijui ndo manamba naona sielewi chochote.

Physics kulikuwepo hiyo topic inaitwa electronics, basi hili jiwe lilikuwa limepinda yani huko mwisho sijui utumie four figure nikaona huu utumbafu wa Nini.

Nikajiunga Moja Kwa Moja Masomo ya arts nikasoma HGL pale semirini safi kabisa.

Tupe story ya topic ngumu kwako
Equilibrium ya Form One, Vector And Scalar Quanty ya form three.

Pia kuna hii Kitu inaitwa Rotation of Rigidy body ya Mechanics form Five, Electronics ya form Six upand wa O na NAND Gates kwenye Diodes, Heat in Gases form Six.

Aisee hizi topic zilinitesa sana na sikuwahi kuchomoka.
 
Zote za masomo saba ya Arts.Nilipata four ya 34 ,2004.Nikamdanganya bimdashi matokeo hayajatoka.Kwa nini asiende shule.Kufika akaulizwa mama unajua kusoma? Akajibu ndio.Akapewa mkeka ulikuwa hivi;
Civics=D
Kiswahili=F
Engl=F
Bios=F
Math=F
Geo=F
History=F
Aisee wee kweli bwege mtozei kuliko mie
 
Kipindi nasoma nakumbuka darasa la Saba, nilichelewa asubuhi na mwalimu alikua ana tafuta wasio kuja juma moc, dah tulikua kama 4 hivi, tuka shauriana twende tukajifiche chooni, mwalimu alipo maliza kukusanya wategaji, akaja nao huko huko chooni, waje kufanya usafi, vyoo vilikua vinne tukajificha Choo cha mwisho kabisa, tcher akaingia Kwanza yeye akaja mpaka Choo cha 2 akaona vyoo vinanuka akageuza,akatoka nje wakati ana toka akaja dogo WA chekechea akawa ana kojoa kila Choo ana hamia lingine, alipo fika cha nne akatukuta basi aliropoka mwalimu wengine hawa uku, dah.... Ukizingitia huyo alikua ni head master..
 
Daaah mwanangu
Kipindi nasoma nakumbuka darasa la Saba, nilichelewa asubuhi na mwalimu alikua ana tafuta wasio kuja juma moc, dah tulikua kama 4 hivi, tuka shauriana twende tukajifiche chooni, mwalimu alipo maliza kukusanya wategaji, akaja nao huko huko chooni, waje kufanya usafi, vyoo vilikua vinne tukajificha Choo cha mwisho kabisa, tcher akaingia Kwanza yeye akaja mpaka Choo cha 2 akaona vyoo vinanuka akageuza,akatoka nje wakati ana toka akaja dogo WA chekechea akawa ana kojoa kila Choo ana hamia lingine, alipo fika cha nne akatukuta basi aliropoka mwalimu wengine hawa uku, dah.... Ukizingitia huyo alikua ni head master..
Umenifanya nicheke sana
 
Mpaka sasa simini topic ya evolution kwa sababu kihualisia hatujatokana na wadudu wala hewa wala nyani naamini from God.
Pia mada ya hesabu probability mimi sipendi uongo sasa proba sikuwahi ielewa wala nini.
Pia kwenye hesabu la credit na debit kwenye hesabu sikuwahi lipenda kwa hiyo sikusoma wala sikulijibu hilo swali hadi advance namaliza form 6.
 
Maisha Yana story ndefu,

Nilipenda kusoma science, sema nilikutana na matopic magumu sikuchelewa kukimbia.

Kwanza namlaumu huyo aliyetunga topic ya maths ya LOGARITHMS 😅 Aisee hili jiwe me teacher akifundisha natoka kapa.

Sijui kutumia four figure me kusoma sijui ndo manamba naona sielewi chochote.

Physics kulikuwepo hiyo topic inaitwa electronics, basi hili jiwe lilikuwa limepinda yani huko mwisho sijui utumie four figure nikaona huu utumbafu wa Nini.

Nikajiunga Moja Kwa Moja Masomo ya arts nikasoma HGL pale semirini safi kabisa.

Tupe story ya topic ngumu kwako
Me tatizo lilianza form one kiswahili,yani kiswahili nachoongea kweny makaratasi asee sikuwahi toboa an,form one mpk four n F tuu..nacte nakuja bahatisha D ,nikajua sio matokeo yangu looh!
 
1)Earth as sphere form 3

2)Circle form 3

4)Probability form 3 &5

4)Electromagnetism form 3&5

5)Laplace transformation -Uni

6)Double integration -Uni.

7)Fourier series

8)Discrete Maths.
 
Back
Top Bottom