National income ,, asee nilikuja kuielewa first year wakati wa sup,,,
kuna pimbi mmoja alikuwa anaitwa doctar jo ,,, yule jamaa kwenye EC 117 wakati anafundisha anafundisha simple kweli kweli ,,, ngoma U.E ,, aisee mbaka nikajiuliza kweli hivi vitu tulisoma darasani kweli ??,,,
Paper ni ya masaa 3 lakini mbaka wanasema tumebakiwa na nusu saa paper iishe ,,, kidume ukiacha maswali ya kuchagua na machache niliyojikanyaga kanyaga ,, mengine yote kama calculation na explanations hakuna nilichojibu,,,, japo kulikuwa na Ac venue tuliofanyia ,,, kidume nikaona jasho zinanitoka,, moyo nikajisema nimekwisha,,
Uzuri wakati wa sup ,,, nusu ya darasa tulirudi kupiga paper tena ,,, hapo nikajiona kumbe mimi siyo kilaza sanaa