Topics gani zilikutoa jasho, kipindi unasoma shule?

Topics gani zilikutoa jasho, kipindi unasoma shule?

Zote za masomo saba ya Arts.Nilipata four ya 34 ,2004.Nikamdanganya bimdashi matokeo hayajatoka.Kwa nini asiende shule.Kufika akaulizwa mama unajua kusoma? Akajibu ndio.Akapewa mkeka ulikuwa hivi;
Civics=D
Kiswahili=F
Engl=F
Bios=F
Math=F
Geo=F
History=F
2004 Kumbe n babu. Mi ndo nazaliwa
 
Back
Top Bottom