Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Akili mganda hizo, sisi tulisoma hizo nyingine tunawatamani waliosoma H ngapi ngapi huko.Mwanaume kusoma combination inayoanzia na H ni jambo la kusikitisha sana
Magazijuto 😂😂😂😂Hesabu magazijuto na tafuta x au y jamani unakata tamaa nakuchora maumbo unaambiwa tafuta y na x au kuwagawanyq au kutoa ni hapo ni kuchoka
Organic shikamooo na kusoma kote tuition kalolen ila nikatoka holaaa
HatariOrganic chemistry. Nilisoma tuition mara tatu A level holaaaa🤣🤣🤣🤣
For sure😃🤓Akili mganda hizo, sisi tulisoma hizo nyingine tunawatamani waliosoma H ngapi ngapi huko.
Ningefanyaje sasa,. Nilipambana nayo hivyohivyo chamsingi kumaliza shule😃😂Baada ya hapo ukachukua njia Gani?😅
2004 Kumbe n babu. Mi ndo nazaliwaZote za masomo saba ya Arts.Nilipata four ya 34 ,2004.Nikamdanganya bimdashi matokeo hayajatoka.Kwa nini asiende shule.Kufika akaulizwa mama unajua kusoma? Akajibu ndio.Akapewa mkeka ulikuwa hivi;
Civics=D
Kiswahili=F
Engl=F
Bios=F
Math=F
Geo=F
History=F
Ata D mbili hujapta mkuu?Zote za masomo saba ya Arts.Nilipata four ya 34 ,2004.Nikamdanganya bimdashi matokeo hayajatoka.Kwa nini asiende shule.Kufika akaulizwa mama unajua kusoma? Akajibu ndio.Akapewa mkeka ulikuwa hivi;
Civics=D
Kiswahili=F
Engl=F
Bios=F
Math=F
Geo=F
History=F