Toroka kijijini uje Dar

mada za wanaume wa dar vs wa mikoani zina fasihi nzito (visa) hujengwa kwa picha yenye mashambulio ya pande mbili na kumpa burudani ya kusuuza moyo msomaji. upande wangu hakika hunifungulia siku vema na kunisahaulisha shinikizo za kisiasa. heko mleta uzi. hii ndiyo raha ya JF kuna ya kuhuzunisha, ya kujifunza, ya kusikitisha na ya burudani.
 
Huo ugali wa mtama unawabaka wanaume wa mkoa, maana gogo lake linafumua marinda na damu juu ni majanga tupu..[emoji12] [emoji12] [emoji12]
ahahah..bahatika kulifumania limeshushwa kichakani haki ya nani unaweza kujiuliza huyu binadamu aliyefanya hivi au la? kisha mwanaume zamani amejisosela na majani ameshasepa
 
Michembe ndio nini?
Ni viazi vilivyokatwa/chepwa katika vipande vidogo kisha kukaushwa juani mkuu.Husagwa na kuliwa hata baada ya mwaka kama ugali.Vinapatikana sana anapotoka mwenyekiti wa chama cha taifa
 
kijijini ni shida! yaani watu wanakunya njiani yani! sijui ni shauli ya hiyo mivyakula migumu!
 
hahahahaha! mkuu umeua kabisa....haya sasa, ngoja tuone wale wanaotudharau sisi wanaume wa Dar tunaokula kila aina ya vyakula vinavoongeza NGUVU ZA KIUME.
 
Hivyi matangazo ya waganga wa kienyeji kuhusu nguvu za kiume kwa wingi yapo wapi kama sio kijijini
 
Ila ukweli n.kwamba watu weng wa dar hushindia mlo mmoja kwa siku,sidhan km kiafya watakuwa sawa na kjn wa mbeya au moshi anaweza kula mala nne kwa siku na milo ya afya akashiba......
Takwimu za Dr Mpango, Dar ndio ina watu wachache wanaoishi kwa shida ikiwemo kukosa milo mitatu. Ikifuatiwa na Klm. Arusha iko sijui ya tano, Mwanza inashindana na Kigoma kwa shida. Kwahio ukizungumzia kushindia mlo mmoja mikoani ndio wanaongoza si Dar.

Ushawahi kusikia Dar kuna njaa? Dar hawalimi chochote zaidi ya mchicha lakini njaa haiwahusu inahusu mikoani huko tena mikoa inayolima hicho hicho chakula. Hii ina nikumbusha UK, unakula machungwa,maembe,mananasi mmwaka mzima na hakuna kinacholimwa hapo Uk, ila sisi huku TZ tunaolima embe tunakula kwa msimu, chungwa kwa msimu n.k.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…